SEHEMU YA 43.
DAR ES SALAAM .
Askari waliopewa kazi ya kumlinda mke wa mwamba Roma walikuwa wakiendelea na majukumu yao kwa weledi mkubwa Sana, huku wakitumia mafunzo yote waliyoyapata kutoka kwa eagles.
Siku ya jumatano majira ya saa kumi jioni walimuona mrembo huyu akiwa katika viti maalum...
Baadhi ya wachezaji mpira wanalazimisha afunge goli yeye hata kama mwenzake yupo sehemu nzuri zaidi ya kugunga goli.Na hivyo ndivyo wanaadamu tulivyo,tunapenda na kujali sifa na manufaa yetu kwanza na sio ya wengine.
Marafiki zetu ni wale ambao watatusaidia kutunyanyua na kutufanya tuwe mabwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.