Recent content by Daraja2

  1. Daraja2

    Mashabiki wa Taifa Stars baadhi acheni uzwazwa

    Jibuni hili swali ; KENYA v/s MOROCCO nani alifungwa ? Acheni kukatisha watu tamaa likiwemo benchi la ufundi. Kama wewe ni mzalendo wa kweli toa maoni yako hapa tutayafanyia kazi "Kama yanatekelezeka" "KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE..................."
  2. Daraja2

    "CODE - '30"

    "Kwenye kinyang'anyiro hakikisha hakuna mtoto wa waziri au aliyewahi kuwa waziri na kinyume chake" Kuna jamaa yangu hapa amenipa kibarua cha kumfuta machozi baada ya udiwani kwenda na maji 😭😭😭 !!!
  3. Daraja2

    REKODI ZA MAMA KATIKA MICHEZO

    Jana wananchi wamefurahi,ubaya -ubwela wamefurahi na watanzania kwa ujumla wamefurahi -kazi iendelee........... Hakika MAMA unalitendea haki soka la Tanzania. HONGERA SANA MAMA.Tupo pamoja sana ! Kupitia "goli la mama" tumeona Simba na Yanga zikifika fainali za kombe la shirikisho barani...
  4. Daraja2

    JESCA NI MAGUFULI MTUPU

    Ahsante sana mama kwa kuonesha "utu" kumkumbuka "rafiki yako katika kazi" Kwa uzee wangu, nimeona umetekeleza wosia wa wazee wetu wa kale "Kama ulikuwa unawatembelea wazazi wako wakiwa hai (kijijini) kwa kuwasalimu na kuwapa zawadi basi endelea na utaratibu huo hata watakapo kuwa wameondoka...
  5. Daraja2

    Nani kuvunja rekodi ya Mrema na Gambo Arusha?

    Felix Mrema na Mrisho Gambo ni wabunge walioacha alama kubwa sana "Arusha mjini" ambazo haziwezi kufutika kirahisi vichwani mwao (hasa kwa watumishi wa umma) Nina Imani kubwa sana na ajaye anaweza kuivunja rekodi hiyo (Kama akiamua). (1) Felix Mrema - alisaidia sana kutatua changamoto...
  6. Daraja2

    Kenge kwenye msafara wa mamba usijinyong'onyeshe

    Habarini za jioni hii, Wakati majina yakitangazwa "mubashara" kulikuwa Kama na maelekezo ya Moja kwa Moja kwa wajumbe kumpitisha "mlengwa" katika kiti husika. Rejea "waliopitishwa Jimbo fulani wako 7 akiwemo fulani (jina la muhusika). USHAURI; Wewe ambaye bado ni mdogo kiumri jipange kisawa...
  7. Daraja2

    Kumbe mama anapendwa na kukubalika na makundi mengi katika jamii ikiwepo watumishi wa umma na mama wajasiriamali

    Jana tuliona na wengine kusikia kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ikionesha watumishi wa umma wakishangilia mitaani (kwa furaha na mbwembwe nyingi) baada ya kutoka "kudroo" chochote kitu NMB. Leo katika pitapita zangu mtaani hali imetulia kidogo (kwa watumishi hao) ila nimeshuhudia...
  8. Daraja2

    Watumishi wa umma leo naona ni vicheko tu huku mtaani, kuna siri gani?

    Tupo wengi mbona (Mimi wewe na yule) tunatamba naye hadi 2035. "Hakuna mbadala wake kwa sasa" kikwete's voice
  9. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    KAMA UMESHINDWA KUTUPA KIFUNGU KWENYE KATIBA YA CHAMA KINACHOPINGA MAMA KUPEPERUSHA BENDERA KWA MIAKA KUMI (2025 - 2035) Kwa nini upo kimbele- mbele kushupaza shingo.ACHA UNAFIKI. SOMA HISTORIA NDUGU YANGU.Hakuna kipindi kigumu kuivusha nchi Kama kiongozi mkuu kufia kwenye "kiti". NAWEZA...
  10. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Hicho kifungu no.37 kipo kwenye katiba ya chama !?
  11. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Katiba ipi ? Tupe kifungu kwenye katiba ya chama kinachopinga MAMA asigombee tena 2030.
  12. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Marekebisho ; Hapo katiba imeingiaje ndugu.
  13. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Si mlikubaliana wenyewe ndani ya chama "Rais ahudumu miaka 10" ndio utaratibu wenu ndani ya chama 😂😁🤣 !!! Hapo katika imeingiaje ndugu. Sasa hivi tupo 2025 - 2030 October kaweke "tiki" kwanza.
  14. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Haswaa !!! Agiza kinywaji hapo kwa mangi nakuja kulipia 😂😁🤣👍 !!!
  15. Daraja2

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Kwa nini? Kwa sababu hakuwahi kugombea kabisa nafasi hiyo (ya kupeperusha bendera) na kuhudumu. Tukumbuke Kila mgombea aliyeteuliwa alikuja na "falsafa" yake ya kuongoza nchi. NYERERE - Siasa ya ujamaa na kujitegemea (falsafa mama). MWINYI - Ruksa. MKAPA - Ukweli na uwazi. KIKWETE - Ari mpya...
Back
Top Bottom