Kumbe wingi wa waheshimiwa hoja, hoja n kupata watendaji wa kweli wenye uthubutu wa dhazati we angalia rais,makamu wa rais, k/mkuu Kiongoz na w /mkuu tu goma linaenda ile 120 kwenye Kona shaaaaaa co mawaziri 60 na bado mwendo 25 kwenye kona unavuta handbrake
Wote tutulie ndani tuijenge nchi yetu...ww kinachokuuma kukosa hzo safari za UK, magufuri akulenga kuokoa hela pekee yake bali na nguvu kaz ya serikali, ww umeajiliwa na watz Kaa nchn tuwatumikie
Mmmmm naisi kama agent wa shetani ndio wakati wake huu Umefika......n mawazo yangu tu haya ata ww una yako kwahyo n vzr kila mmoja akaamin vile anavyozani
Haya tuone huo uzalendo kama utalisha fmly yake......vtu vyengne vya kijinga kabisa utaeendaje kupambana na jambazi ukiwa hauna mbinu yyte ya kujiami? Huu n ujinga
Yan kama naliona bunge lijalo kambi rasmi ikiongozwa na makinda mawaziri kivuli nape, na baadhi ya wabunge wa ccm yangu....namuona mama makinda akiomba muongozo kwa mh speaker tundulisu. "mh.speaker naomba muongozo wako...maana this is not fair, mbona mm nilikua nawasikiliza muda mwingne "
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.