Recent content by danymTZ

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ni heri mtoto awe na akili za darasani au awe na akili za kutafuta pesa ?

    Uzoefu unaniambia kuwa watu wanaopost thread za aina hii ni wale waliokuwa vilaza darasani na sasa wamepata pesa za uganga. Mkuu achana na pesa za Sangoma madhara yake ni makubwa sana.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Wakati Tz ikiendekeza sikukuu, China yaunda jua kuongeza muda wa kupiga kazi

    Usiwe mvivu wa kusoma vitu kwa undani mkuu. Wachina Wana project inayoitwa EAST( Experimental Advanced Superconducting Tokamak). Hii ni project ya kisayansi yenye lengo la kutumia process ya nuclear fusion iliyotumika kuunda jua ili kupata chanzo cha nishati(clean energy). Jua linatokana na...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    Kwa tafiti isiyo rasmi ni kuwa Kuna uhusiano mkubwa kati ya umbea na ushoga
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Incomplete chuoni natoboaje wakuu

    Andika barua kwenda kwa uongozi wa department Yako. Hakikisha unaweka uthibitisho kuwa umeonewa.Itakusaidia kama ushaidi baadae kama lecturer ataamua kukaza. Iliwahi kunitokea Mimi nikiwa 2nd year COET nilikosa UE baada ya ratiba kubadirishwa muda mfupi kabla ya mtihani. Nilifika chumba cha...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na Fibre Cables, hiki ni kisababishi kingine cha ukosefu wa intaneti

    Acha upotoshaji mkuu. Hujaonyesha hiyo "geomagnetic instability" imesababishaje internet failure Kwa east africa. Maelezo yako yanaonyesha kuwa mawasiliano yaliyoathirika ni ya satellite na siyo internet. 99% of intercontinental data traffic is via marine optical cables. Why effect imekuwa...
  6. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Najiandaa kugombea ubunge jimbo la Mwibara 2025

    Ikomesya wasu ugege lijimbo
  7. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu ubora wa vifaa vya HAVELLS

    Havells wako vizuri na ni cheap kuliko tronic. Ubora wa vifaa vyao na tronic havina utofauti sana hasa Main distribution switches. Nina duka la vifaa vya umeme liko Chanika. Ikikupendeza karibu tufanye biashara, PM.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

    3 women 10 Children. Familia ya Tajiri namba 1 duniani huyo Elon Musk. Piga mashine fala wewe, usiwe kama mpwayungu.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alitumia Miaka 6 kuwapa TRA Bilioni 500, Rais Samia ametumia miaka 2 tu kuwapa TRA Bilioni 500

    Chawa wana tabia ya kukaa mazingira machafu
  10. D

    JamiiForums Tanzania Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

    Zito Msaliti na mnafiki
  11. D

    JamiiForums Tanzania Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

    Mnafiki mkuu
  12. D

    JamiiForums Tanzania Simba bado ni Giant kuliko Yanga msimu huu!

    Hapa tena kwenye kuelewa maana ya mafanikio umeenda chaka. Sikia, Mafanikio ni kufikia malengo. Malengo ya Yanga msimu huu yalikuwa ni kufika hatua za makundi kwenye mashindano ya CAF. Ametimiza lengo na kupitiliza hadi kufika fainali. Haya ni mafanikio makubwa sana kwa Yanga kimataifa. Kwa...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Simba bado ni Giant kuliko Yanga msimu huu!

    Sikiliza wewe, Yanga kimataifa msimu huu imefanikiwa sana hata isipochukua kombe. Yanga wamekuwa wakiishia hatua za mwanzo tu mashindano ya CAF misimu ya nyuma. Msimu huu wamefanya mambo makubwa sana. Kama we ni mwanayanga na unayakataa haya mafanikio basi hujui football. Simba wameset standand...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ninashangaa sana wanaojaribu kuilinganisha Yanga sc na vilabu vingine Tanzania

    Najaribu kuwaza. Hivi Yanga wangefika robo fainali CAF champions league na kushika nafasi ya pili kwenye ligi, tungesema msimu kwao umekuwa wa mafanikio au failure? Mwanayanga yeyote aje ajibu hili swali.
Back
Top Bottom