Recent content by DANY1

  1. D

    Lema: Leticia Nyerere ni mmoja wa wasaliti

    hivi ukawa ndiyo inawakilisha wananchi tu ili hali bungeni kuna wajumbe 200.. Wanaowakilisha makundi mbalimbali? Mimi binafsi naona hiyo ndiyo siasa ya kweli na siasa yenye demokrasia
  2. D

    CRDB: Kwa wale watumishi wanaotaka kukopa kwa maendeleo yao

    wakuu hivi mtu akiajiliwa ili achukue mkopo mpaka awe na confirmation later na hakuna benki inayotoa mkopo kwa mwajiliwa ambaye bado hajapata confirmation later? na mtu akiwa na take home ya 705000 atachukua sh. ngapi mkopo?
  3. D

    Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

    Wew jamaa mbona unakuwa na matusi jenga hoja, halafu ndiyo maana kumbe asilimia kubwa ya watu kama wewe mnapelekwa pelekwa hadi mtu anajilipua ati anafia dini kwanini yule anayekufundisha hivyo yeye asijilipue afie dini ili nyie muige kama mlivyo iga mavazi ya kiarabu? kuvaa kwa kujisitiri sio...
  4. D

    Jamani usaili wa afisa utafiti

    Asante sana prince, nitafanya kama ulivyo nambia, na nikipata kazi ntakuja kukushukuru,thank
  5. D

    Jamani usaili wa afisa utafiti

    Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu, nimeitwa kwenye usaili wa mahojiano kwa nafasi ya afisa utafiti mifugo, msaada na ushauri jinsi ya kujiandaa
  6. D

    Kuna mtu anaweza nishika mkono na kunikaribisha? Hodi...

    Jamani mimi mgeni humu naombeni ukaribisho wenu
  7. D

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    na vipi kusuhu mwaka unanishauri nichukue la kuanzia mwaka gani?
  8. D

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    asante sana mkuu ndiyo maana nazidi kusubiria ushauri ili nisijepata kimeo maana mimi mgeni kwenye huo ulimwengu wa magari ndo nataka kuingia
  9. D

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    asante mkuu kwa ushauri
  10. D

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    Salaam wandugu....kama nilivyo jieleza hapo juu mimi sijawahi kununua gari wala kuagiza gari lakini baada ya kujichanga nina kama 7 milion hivi,naombeni wataalamu wa masuala haya wanishauri ni aina gain ya gari naweza kuagiza Japan ambayo mpaka naitoa bandarini nitatumia kiasi hicho nilicho...
Back
Top Bottom