Recent content by dante j

  1. D

    Alitaka apigwe bao 8 ndo aridhike

    nikajua kweli 8...nilitaka sema brother uyo sio ke bali ni robot ilooo
  2. D

    Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

    ahhahahhaha jamaa angu m1 alikua anasemaga hesabu zinafataga ukoo..af mbaya zaid ukoo wao aziwataki
  3. D

    Makusanyo ya madini Mirerani yashuka kutoka shilingi milioni 440 mpaka shilingi milioni 40

    Kwa mtazamo wng nahisi mapato kushuka hayana uhusiano mkubwa na utoroshaji bali ni kutokana na kushuka kwa uzalishaji, Serikali iliingilia kwa pupa mererani, mabosi (wafadhili wa migodi) na wachimbaji walikua na utaratibu wao wakufanya kazi kwa maana tajiri anafinance shughuli zote za uchimbaji...
  4. D

    Yaliyojiri : Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA Lowassa, Masasi 22/09/2015

    Ha ha ha braza napee bna! Jipe moyo ila ukwel yan ule ukwel wa moyon km wamgombea wenu unaujua.
  5. D

    CHADEMA thibitisheni mgombea URAIS kushiriki MDAHALO

    Naona mtoto wa d.c unajpa moyo kdumu ktashnda urais, ha ha ha ha mwambie mzaz wko atafute ajira nyngne.
  6. D

    dah hii inauma sanaaaa kuhusu NSSF

    pooole jamaa utapata tu kwngne
  7. D

    Ajira za Mkapa Foundation

    subira ya vuta kheeri
Back
Top Bottom