Kwa mtazamo wng nahisi mapato kushuka hayana uhusiano mkubwa na utoroshaji bali ni kutokana na kushuka kwa uzalishaji, Serikali iliingilia kwa pupa mererani, mabosi (wafadhili wa migodi) na wachimbaji walikua na utaratibu wao wakufanya kazi kwa maana tajiri anafinance shughuli zote za uchimbaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.