Pole sana,Mungu akuponye.
Nakushauri utumie; Habat sauda Ipo katika mfumo wa mafuta au unga. Inapatikana katika maduka ya viungo vya chakula, mimi niliipata kariakoo. Inasaidia mambo mengi.
Niliipata iliyo katika Hali ya mafuta unakunywa kijiko kimoja Cha chai asubuhi kabla ya kula chochote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.