Recent content by Danstar Mulla

  1. D

    TAHADHARI: Orodha ya TBS ya bidhaa 48 zisizotakiwa kuonekana sokoni...

    Bidhaa feki ni zaidi ya hizo,nenda huko hakuna lolote.
  2. D

    CHADEMA yatangaza kutomtambua John Tendwa

    When you think about the right,think also left. Laws are there,some are good and others are bad.
  3. D

    Sumaye: Tujitahadhari 'wauza unga' wasije wakaongoza nchi

    Sumae alikaa madarakani lakini hakufanya lolote, nashangaa eti ukiwa ndani husemi kitu! Ukiwa nje unasema,why? Kama sio unafiki. Lowasa 2015 hata kama. Sumae utakumbukwa kwa lipi? Uchu wa madaraka tu unakusumbua, hii nchi mmeifanya kuwa changudoa. Kila mtu akitaka anadonoa! When you think Right...
  4. D

    Serikali yafunga migodi 4 Mererani

    Amka rafiki,mbona umelala? Play your party, mkoa wa Mara pamoja na kuwa na vyazo vingi vya mapato ni wa mwisho kiuchumi? I believe in war if you want to achieve better.
  5. D

    Serikali yafunga migodi 4 Mererani

    Hii migodi ni bora isingekuwa Tanzania,kwani mwananchi wa kawaida hafaidi chochote! Ni kuuawa tu kama mbwa? Serikali imeshindwa kulinda raia wake. Yaani Tanzania imekuwa ni sawa na mwanamke ambaye ni changu doa!
  6. D

    CUF: Serikali ilichukulie hatua gazeti la Tanzania Daima kwa uchochezi wa kidini!

    Kwa nini CUF mnatumia dini kama mwavuli kuficha maovu yenu? Uislamu si uarabu na Ukristo si Wazungu,acheni upuuzi weka maslahi ya nchi mbele.
  7. D

    CUF: Serikali ilichukulie hatua gazeti la Tanzania Daima kwa uchochezi wa kidini!

    Mbona mnatishia sana kufanya vurugu? Mungu wetu ni wa amani, video mi ninayo Lipumba ni Mdini.
  8. D

    ITV kipima joto:Rasimu ya katiba.Je inajibu matarajia ya watanzania kwa miaka 50 ijayo?

    Tuna maprofesa majina, wanasifiwaaaaa,hakuna kitu wamefanya nini cha kukumbukwa? Hii nchi ina watu ambao ni myopia,vijana wamekuwa makupe! Je,tutafika?
  9. D

    ITV kipima joto:Rasimu ya katiba.Je inajibu matarajia ya watanzania kwa miaka 50 ijayo?

    Nashangaa! Tume imetumia ghalama kubwa kukusanya maoni ya wananchi, lakini kwenye rasimu yamejaa mawazo na mtazamo wa wajumbe! Serikali tatu ni upumbavu uliokithili. 99.99% ya watanzania walisema madaraka ya raisi yapunguzwe,maoni haya hayajafanyiwa kazi. Tanzania ya leo ina wasomi, kwenye hii...
  10. D

    Kupinga serikali tatu kwa kisingizio cha gharama ni upuuzi

    Hii rasimu ni kwa ajili ya watu wachache,lakini kwa kuwa Watanzania wengi ni makupe,hawalioni hili. A great thinker has to think about 50 y's to come and not today &tomorrow. Nawapinga kwa nguvu zote.
  11. D

    Kupinga serikali tatu kwa kisingizio cha gharama ni upuuzi

    Tatizo Watanzania wengi ni makupe,tunaishi kwa mawazo ya wengine. Serikali tatu ni uchu wa kutaka kuongoza, it's better to 've two independent country rather than three government within same republic. If you cannot remove a stone on your way,go around it. Vijana wengi wamekuwa makupe,rasimu hii...
  12. D

    NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

    The government nullified form four national Examination results of 2012, I think this is for the interest of few(politician). Once you send raw material with low quality to the industry,expect to get poor,poor product.
Back
Top Bottom