MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,236
Huyu kigogo mstaafu naanza kuamini kuw akuna kitu anakifahamu juu ya hii biashara haramu na hatari , na pia kuna kitu anakinyemelea (vr vital), ngoja tuzid fatilia mwenendo wake na matamko yake , then muda mwafaka ukifika tutathibitisha yale ayasemayo.