imefungwa hili apewe mwekezaji mchina siyo? Muhongo analo
siku zao zinahesabika hawa maccm
imefungwa hili apewe mwekezaji mchina siyo? Muhongo analo
ccm ni janga ktk taifa letu la tanzania hiyo migodi iliyofungwa ndo inalisha karibu arusha nzima lkn leo imefungwa na muhongo je ni sawa.
siku zao zinahesabika hawa maccm
Ukiona viongozi ktk taifa wananyanyasa watu wake ujue mungu ameshawakata ndio ccm ilivyo wamelewa madaraka
mbona wao tanzanite one wakiuwa wachimbaji wadogo hawafungiwi migodi yao?