Mbona picha za uchi hatujaona? Na mbona alikiri jamaa alimdanganya hana mke? Na mbona pale palikuwa nyumbani pa mtuhumiwa na sio bar? Na kama jmaaa hakuwa na nia mbaya kwa nn alikimbia. Na hiyo laki 9 na elfu Saba alitembea nayo ya nini ? Ila mtuhumiwa alikosea wacha mahakama isikilize
Sitashau hiii kitu ilinipiga mimi dec 25 ilianza nikiwa ibada aisee kama kichwa nikapiga hedex kurudi home ngoma ikachangaya homa kali mafua kichwa balaaa nikaenda hospital nikapigwa mseto.amoxil citrizen panadol mucolyn etc sijwai kuuumwa vile aisee na nikiona hizi dalili za hiii kitu na pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.