I decided not to kill you

I decided not to kill you

Sasa ukimwambia unategemea nini?

Ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wako. Kama kweli huyo girlfriend wako unampenda kama unavyoelezea hapa.

Wanaume tumeumbiwa mateso, teseka nalo miezi miwili ilobaki sio muda mrefu sana boss.

Ukishapima ukagundua wewe ni mzima basi usikaribie wala kukaribisha zinaa karibu yako.

Uliiomba mvua mwenyewe, yavumilie matope tu boss, patanyauka muda sio mrefu maisha yataendelea
Watu mna ushauri konk

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kapime baada ya mwezi mmoja. Halafu baada ya mwezi mwingine. Kama anatumia dawa na anatumia ipasavyo, hata mngefanya isingekuwa na shida.

Huna haja ya kumwambia mchumba wako kilichotokea. Ukweli mwingine utakuweka huru lakini sio huo. Kuhusu jigijigi, mwambie mchumba wako umeambiwa na Dr. una UTI kali na kwa sasa unatumia dawa. Kuna UTI ambayo unaweza ukatumia dawa hata miezi mitatu.


Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Yani umwelezemchumba wako ulitaka kuchepuka upate relief?

You cat be serious! Ni heri ufe na mzigo wako moyon mwako, sababu umeshayasema hapa kiasi kikubwa cha mzigo nahisi kitakua kimekuondokea, na ukithubutu kumwambia hata hiyo ndoa sidhani kama itakuwepo tena

Wakati mwingine mjuage bas kusema na tamaa zenu, mtu humjui mmekutana tu juu juu unamwamini kiasi gani kumwingiza kwako na kumfanyia yote haya, yan maisha yako ulikua unayweka rehani mwenyewe kwa tamaa tu

Kama hakupata wala ww hukuwa na michubuko maambukizi kupata chance ni ndogo sana subiri tu huo muda utimie ukapime ujiridhishe au kama unaona unawaswas sana ungeenda hospital kuna dawa flani ungepewa wakat unakua kwenye window period

Hope utakua umejifunza.
it hurts a lot
 
Back
Top Bottom