Kama una stress kuishi na mtu wa ivo ndo vizuri sababu atakuwa anakutoa kwenye msongo uliokuwa nao ata kwa muda mfupi, kikubwa ni kuchukulia simple hiyo tabia ya mwenzio pia kama unamwamini unaweza mshirikisha hizo stress akakushauri na kama sio kwa yeye, mtafute mtu unayemwamini ili...
Ahahaa eti minyororo na makufuli makubwa!! Wakati mwingine ukataji tamaa tu ndo humfanya mtu kupoteza ushawishi wa mahusiano mapya kwa fikra ya kulinganisha mtu wa zamani na mahusiano mapya na hofu ya matukio ya nyuma ila ukiruhusu nafsi kufungua kurasa mpya ni rahisi kabisa kuweza kuoa ama kuolewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.