Recent content by danke sie gott

  1. danke sie gott

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Hii habari inaenda sambamba na fao la kujitoa. Maana kama fao la kujitoa ingekwepo basi watu wengi wangeacha kazi kwa mambo kama haya. Kwa sasa hakuna wakufanya hivyo wakati anajua hakuna pesa atapata huko NSSf na mashirika mengine huko.
  2. danke sie gott

    Mbunge Bashe ndani ya TV Somali: Azungumzia siasa za Tanzania na urithi wa JK Nyerere

    Halafu kutwa kuleta habari hapa waarabu Wabaguzi sijui Ulaya wabaguzi. Hivi anaepokea mgeni kwenye nchi yake na baada ya miaka kadhaa anampa uraia na ambaye hata mtu akizalizwa kwenye nchi yake hawezi kubali kama huyo ni raia wake nani mbaguzi? Wakati karibu Dunia yote mtu atakapozaliwa...
  3. danke sie gott

    Huu utajiri wa kupindukia wa madereva wa malori unatokana na nini?

    Hata hao unaosema wewe kwa sasa hakuna hiyo kazi ilishaisha kitambo. Kwa sasa kupata hela ya kula tu na sio unavyofikilia wewe hiyo kazi naijua vizuri sana kuliko kazi yeyeto ile.
  4. danke sie gott

    Huu utajiri wa kupindukia wa madereva wa malori unatokana na nini?

    Dah wee jamaa ungejua kuwa hao madereva kwenye ajira zao hata waalim wananafuu. Kazi ya udereva wa maroli Tanzania sio kabisa acha kusikiliza stori za kuambiwa baadhi yao walipata pesa kipindi cha nyuma tena za uwizi kwa sasa hakuna hata huo wizi. Kuna kampuni nyingi tu watu wanaendesha magari...
  5. danke sie gott

    Ninauguliwa na baba watoto wangu

    Mkuu umejuaje kama hana watu anaojuana nao humu? Halafu wapo watu wengi sana kuliko unavyofikili wewe wanapita kimya wengine pesa wanazo ila hawataki kumchangia wana mawazo kama yako wewe ila hawaleti nyodo kama zako. Usijifanye mjuaji wa kuongea sana wee kama vipi kausha tu sio lazima...
  6. danke sie gott

    Uteuzi wa Katibu wa Bunge; Ni Bunge Limevunja Katiba...

    Hata mtu asiyesoma mambo ya sheria akijuliza swali moja tu anapata jibu. Kwani hiyo nafasi ya katibu wa Bunge ndio imeanza awamu hii? Kama ilikwepo je hao maraisi waliopita walichagua vipi huyo Katibu? Mbona jibu lipo hapo.
  7. danke sie gott

    BoT yaingilia kati sakata pesa za Lissu

    Ajali tarehe 8 pesa imekusanywa trehe 9 hizo pesa zimetumwa tarehe 20!! Naona zinaanzishw nyuzi kibao za utetezi. Mbona zinatumika nguvu nyingi kwenye jambo hili?
  8. danke sie gott

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    Nakapanya Sent using Jamii Forums mobile app
  9. danke sie gott

    Kitu gani unachoweza kumfanyia mtu aliyekufa kwa namna kuonyesha ulimthamini?

    Kama unauwezo tafuta sehem yenye shida ya maji, Chimba kisima kwa niaba yao watu wapate maji bule inakuwa sadaka yenye kuendelea hiyo.
  10. danke sie gott

    TAARIFA: Wageni Wanaoalikwa Kuja Nchini na Taasisi za Kidini

    Hivi huu uzi unavyoachwa hivi na maneno ya kuchukizana jf hamuoni? Na kukiwepo machafuko ya kidini mtakataa kuwa jf hamjahusika? Watu wanatukanana mnaangalia? Wanakashifiana Imani mnaangalia tu? Kuna watu wako na imani zao ila hawapendi kubishana km hivi mnawajengea picha gani? Huzi ufutwe huu...
  11. danke sie gott

    Ramadhan Special Thread

    Waalaykum salaam warahma tullah wabarakatuh
  12. danke sie gott

    Kusaini kwenye vitabu getini

    Hapo halmashauri mbona sio shida na hkn usumbufu kujaza hicho kitabu. Ukienda Rita ya dar ndio utashangaa hio foleni ya kujaza majina yako kwenye kitabu.
  13. danke sie gott

    Kwa hotuba hii ya Lissu, Prof. Kabudi ana mtego wa kuikana nafsi yake na maandishi ya taaluma yake

    Kuna watu humu wanashangaza sana mtu km mada ipo juu ya uwezo wako sio lazima uchangie.mbona watu wengi wanasoma na kupita kimya kimya?Acheni kujitoa akili kwenye mjadala wa mambo ya maana mnaboa sana. SIO LAZIMA KUCHANGIA MADA KHEEEEEE
  14. danke sie gott

    Ukweli wa bandarini

    Tufanye yale magari yakwako wewe. Hivi unaeza ingiza gari za thamani km zile kwa njia ya panya kwa hali ya sasa tz? Tupe jibu
  15. danke sie gott

    Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

    Gentamycine Mohamed Said Kikulachochako wapo wengi kwakuwa umesema watatu ni hao
Back
Top Bottom