Recent content by danjingo

  1. danjingo

    Kuna tofauti kubwa kati ya 'Mama Ntilie' wa Mwanza na Dar

    Huu ni ukweli wa wazi kabisaaa........!!!
  2. danjingo

    Faru Ndugai ameanza fujo tena Ngorongoro Crater.

    Kweli watoto wa Form four wanafanya pepa. uzi za leo zina akili sana..... inabidi ufikiri sana ili uelewe........;)
  3. danjingo

    Walokole mnaoimba usiku mnene Mungu aliwaambia kuwa Yeye hapendi usingizi?

    Siioni mahali hiii mada inapotupeleka...... Zaidi sana ni kutukanana tu
  4. danjingo

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hujielewi..... Andiko limeweka sawa kila kitu..... Ubunge haufananishi na Ugombea uraisi au umakamu wa Raisi
  5. danjingo

    Nisaidieni hili: Ubakaji wa mwanafunzi wa form six mwenye umri wa miaka 16

    Mimi nilisikiliza Radio 5 Arusha walisema umri wa binti huyo ni miaka 20 na sio 16 kama ilivyoripotiwa hapo awali.....!!!
  6. danjingo

    Hivi TCRA mnawaogopa Star TV?

    Star tv hata mimi siwaelewi.... hilo tangazo sijui commercial nimeliona asubui leo...... ANYWAY KESHO NDIO WATAJUA WATANZANIA TUNATAKA NINI.... PU******V
  7. danjingo

    Nilivyomtapeli Tapeli hadi akalia

    Ha ha ha ha ha ha ha ha.......
  8. danjingo

    Binti wa miaka19 anahatarisha uchumba wangu, mchumba namuona mzee

    Ndoa si kwenye 6x6 tu..... shauri yako........
  9. danjingo

    Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

    ....Dooh.... tena ameiweka kwa ujasiri..... amemaanisha
  10. danjingo

    TBC, ina maana Madiwani kuihama CCM Monduli sio habari?

    TBC ndo taasisi gani tena.....?
  11. danjingo

    NEC Yatangaza Majimbo 26 mapya ya Uchaguzi

    eti Mbulu ipo mkoa wa Arusha.....!!!! hiyo document ya 1990 nini?
Back
Top Bottom