Bro humu watu walikuwa Awana Cha kupost dhini ya wakenye humu ila jamaa kawapa power iyo ila wanasahau je mlikuwa mnapost vitu vinatoka wapi
Tukubali tu mama ana winning Kwa kupitia mzee pia anatengeneza legacy yake nzuri
Mama anayo madhaifu na mazuri yake kama ambavyo mzee alivyokuwa navyo...
Bro achana na uyo jamaa anaongea Kwa mihemko nadhani Kuna tatizo lilimpata na ao wanaoponda ndio tulikuwa tunawashuhudia wanatuwekea Hadi link za live hapa uzinduzi na baadhi ya miradi iliyokamilika
Ikiwa kama miaka mitatu imekata miradi aliyoiacha msukuma bado aijaisha nadhani wenye akili timamu watanielewa miradi inahitaji muda hata yeye angekuwepo ingekamilika kulingana na muda husika wa miradi.
Magufuli uyu ndio alizindua hospital ya uhuru
Magufuli uyu SI ndio aliyeleta kivuko Cha mv kazi
Hata reli iliisha wakati wake wa kipande Cha moro zaidi ilikuwa kwenye majaribio na baadhi ya vitu
Hospital hizi mnazotamba nazo ni kipindi chake na mama kaja kuongeza Kwa nafasi yake
Kila mtu...
Sometimes naona awa wakenya Kuna wakati wanawafinya Kwa ufinyu wenu wa kifikili limtu lilikuwa hapa siku nzima linasifia magufuli Leo hii leyenye ndio linakuja kukataa
Last time mlitamba hapa nà daraja la kijazi wakiti mzee anazindua na kulipa jina flyover ya buguruni hivyo hivyo Leo vichwa maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.