Inabidi uwe makini maana ujuzi ukizidi lazima niulize umejifunzia wapi kama my man huwa namuuliza amejulia wapi kumvua bint bra maana anajua kuvinasua vile vitasa mpaka nabaki[emoji15]
Wanaojiamini mara nyingi wanaferi huenda your overconfident wakaona utawasumbua kazini. Mimi nilijiona nimeferi maana maswali mengine nilikuwa nasema nimesahau na nimepata post ndo nimeanza
Aisee tuna lawama sana watz ushaambiwa hawaruhusu transcript we bado unaenda nayo ukitaka nchi iendeshwe unavotaka mkuu hatufiki Mimi nimefanya usaili sina ninayemjua nimefanya wanavyotaka sasa hivi nipo kazini. Tuache kuchafuana jamani vigezo na mashart kuzingatiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.