Recent content by danies92

  1. danies92

    Simba problems are deeper than leadership

    Hili ni tatizo kwa vilabu vyote nchini upande ule mwingine raisi wao ni mtendaji mkuu kwe makampuni ya mwekezaji so unazani mwanachama utasema nn ukipiga kelele sana watakwambia tim haikuhusu w mla mihogo unajua hasara ambayo tunaingia. Ata makampuni mengine yanayo wekeza humo ni yao au rafiki...
  2. danies92

    Naomba ushauri wakulima wenzangu

    Drip irrigation ndo mpango wa mjini siku hizi kwa kilimo cha umwagiliaji
  3. danies92

    Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

    Huyu jamaa n zero brain kabisa mantiki anazo ziongea itakua kachanganyikia na bira shaka aliyapaparukia maisha bila kua na formula
  4. danies92

    Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

    Hakuna mwl mwenye ml 2 cash. Huyu c jui n mtu gani. Itakua ndo hawa walikulia machakani ghafla wakasoma mjini waka kutana na motivational speakers wakawaambia professional zao hawata fanikiwa wauze jicho wanakuja ku shtuka wenzake wenye professional hizo hizo wametoboa yy na jicho lake kila mda...
  5. danies92

    Fikra za Sankara, Magufuli, Nyerere, Malema na Gadafi zaibukia kwa Ibrahim Traore

    Una maana mwafrica hajakamilika mbaka mweupe awepo ndo afanye maendeleo yeye abwebwe na maendeleo yale. Basi hata bandari wapeni sababu hatuna hakili acha wafanye weupe sisi tutafaidi matunda ya weupe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. danies92

    Fikra za Sankara, Magufuli, Nyerere, Malema na Gadafi zaibukia kwa Ibrahim Traore

    Huwezi kuwa timamu mbaka watu wakujengee nchi huku wakiwatesa babu zako. Aisee m watu ambao huwa wanasimamia kwenye hii point ya kipumbavu huwa nawaona hawajielewi bora ata mtoto alie zaliwa leo he/she can think positively than these jerks c jui huwa wanatumia mantiki ipi aisee so sory...
  7. danies92

    Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

    Anataka umpe figo huyo. Ukipona atarudi kule kule, Kamavipi mwambie m nauza nimechoka kinyama(economically) laki 5 anachukua[emoji848]
  8. danies92

    Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

    Kazia hapo hapo. Atutofautishia kati ya kanisa na waumini Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  9. danies92

    Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

    Kuna tofauti gani ndugu kati ya KANISA na WAUMINI? Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  10. danies92

    Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

    [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] Bongo movie na maisha Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  11. danies92

    Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

    Ukija kusimewa dua unatoa hela na lazma upike kwa nn wasije kusoma dua waondoke. Hakuna sini isiyo na upigaji waamin huwa hatuzisemi dini au mashehebu yetu tu ili kutunza heshima ya dini zetu ila ndani kwa ndani huwa kunafukuta kubali ukatae ukweli ndo huo Sent from my SM-A032F using...
  12. danies92

    Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

    Bora hao ndugu kuna watu wanaitwa wahutu, wakianza kula kwanza sheria ni lazma kama mnakula mfano ugali nyama ni kwamba nyama moja inaliwa na watu wote mkimaliza ndo mna anza kula nyingine kila mtu ana ivuta nyama na madole yake kwa sisi tusio na ustaarabu huo inatia kinyaa mbaka basi. Alafu...
  13. danies92

    Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume

    Fantastic[emoji257] Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  14. danies92

    Tupia kikosi chako bora cha muda wote duniani

    Kikosi bila CR7 na LM10 sio kwel hata kama n u conservative
  15. danies92

    Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

    Jamaa hamna kitu na bado anachat hajui mambo na hasemi wala haulizi ma regend
Back
Top Bottom