Mm nimzaliwa wakule ktk kijiji cha kindimba juu nimetoka jumapili RAIA Wa pale kijijini panakituo cha ukusanyaji Wa mahindi ya serikali lakini kilicho nihuzunisha MTU akitaka kupima mahindi yake pale mpaka atoe rushwa sio kidogo hadi milioni mbili kwa wale maofisa
Lakini kwauchunguzi niliofanya watu Wa mbinga hasa Wambinga mshariki wanajituma sana ktk maendeleo lkn MTU wakuwaongoza bado hajapatikana maana Kule kuna fursa kibao
Sio wongo mtoa mada yupo sahihi,wananchi Wa mbinga wameikopesha serikali mahindi na hawajaambiwa kama wanalipwa lini wao wamebaki na marisiti tu.mm nimetoka kule jumapili na RAIA hawajui watapata wapi hela kwaajili ya maandalizi ya msimu unaoanza safarihii ...na shughuli nyingisana zimesimama...
Nikweli kunakijiji Fulani kipo singida yani kilekijiji watuwake ni maskini wakutupwa na Huduma za jamii hamna wanatembea zaidi ya kilomita 45 kufuata Huduma kijiji kingine lakini chakushangazakila kibanda ukipita kuna bendela ya chamachamajambazi inapepea watu wamevaa cape na t-shert .ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.