Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

Ndugu yangu tena umeleta hoja nzuri sana ambayo nilikuwa naitafuta pakusemea kila siku hivi ni kweli wilaya ya mbinga ni kwa nini baadhi ya vijiji havifikiki?
yaani ukitokea pale njia panda ya Luhagara kwenda Litumbandyosi kuna kijiji kinaitwa
Kingole sidhani kama barabara ilishawahi kutengenezwa hivi karibuni kwa zaidi ya miaka 15 kwa nini lakini?
 
Sio wongo mtoa mada yupo sahihi,wananchi Wa mbinga wameikopesha serikali mahindi na hawajaambiwa kama wanalipwa lini wao wamebaki na marisiti tu.mm nimetoka kule jumapili na RAIA hawajui watapata wapi hela kwaajili ya maandalizi ya msimu unaoanza safarihii ...na shughuli nyingisana zimesimama kule mbinga kama ujenzi na wengine wanategemea ada kwaajili ya wanao.
 
Lakini kwauchunguzi nilioufanya uchaguzi unaokuja wabunge wakule hasa gaudensi kayombo afanye kazi ya ziada maana chadema wameanza kueleweka kule.
 
shujaaMKUU mwambie Komba na Kayombo kuwa hapa JF,wana hoja ya kujibu sasa.
Tupia picha za maendeleo yaliyoletwa na CCM.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu tena umeleta hoja nzuri sana ambayo nilikuwa naitafuta pakusemea kila siku hivi ni kweli wilaya ya mbinga ni kwa nini baadhi ya vijiji havifikiki?
yaani ukitokea pale njia panda ya Luhagara kwenda Litumbandyosi kuna kijiji kinaitwa
Kingole sidhani kama barabara ilishawahi kutengenezwa hivi karibuni kwa zaidi ya miaka 15 kwa nini lakini?

mkuu , jina lako limenikumbsha mbali sana !
 
Lakini kwauchunguzi niliofanya watu Wa mbinga hasa Wambinga mshariki wanajituma sana ktk maendeleo lkn MTU wakuwaongoza bado hajapatikana maana Kule kuna fursa kibao
 
Mm nimzaliwa wakule ktk kijiji cha kindimba juu nimetoka jumapili RAIA Wa pale kijijini panakituo cha ukusanyaji Wa mahindi ya serikali lakini kilicho nihuzunisha MTU akitaka kupima mahindi yake pale mpaka atoe rushwa sio kidogo hadi milioni mbili kwa wale maofisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom