Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Kuna rafiki yangu wamepotelewa na binti siku ya 12 leo. Ngoja nijue maana simfahamu kwa sura huyo binti yao
Poleni sana kwa kupotelewa na mpendwa wenu,
ila mkuu MSHINO naomba urekebishe heading yako isiwe "BINTI WA KIKE". Mie ninachojua kuwa binti ni mtu wa jinsia ya kike .
nakupongeza kwa juhudi za kumpiga huyo binti picha na hata kutoa msaada wa kumtangaza hapa jf ili apate ndugu zake, mimi sijali kwamba umekosea lugha ninachoangalia ni ujumbe umefika au la, ujumbe wako uko wazi kwa watu makini ila hao wanaohoji bila kusoma habari mpaka mwisho wananishangaza, labda Kiswahili nacho kimekuwa kigumu. Kazana sana kusaidia jamii. Mungu atakubariki. Kama kweli huyo binti amebakwa ni hatari sana, Mungu amsaidie katika aina yoyote ya maumivu na changamoto anazokabiliana nazoView attachment 201193
Wana jamii mwenye ndugu aliyepotea, mida ya mchana binti mwenye picha hapo juu alionekana mitaa ya msasani akiwa ana maumivu makali huku akitokwa na damu km dalili ya kubakwa, binti alionekana km asiye na akili timamu, pia alikuwa akiongea kwa ishara tu. mtoa taarifa aliwakuta wasamalia wema wakijadiliana kuita polisi wa pikipiki kumsadia. Mkononi alikuwa na pesa noti mili za shilingi 500.
Kiswahili nacho ni janga Mkuu! Eti binti Wa kike? Binti Wa kiume yukoje?
Kiswahili nacho ni janga Mkuu! Eti binti Wa kike? Binti Wa kiume yukoje?
Binti hakuwa anaongea zaidi ya kutingisha kichwa tu, ukimtazama ni kati ya 14-17 alionekana km mlemavu wa akili.
Poleni sana kwa kupotelewa na mpendwa wenu,
ila mkuu MSHINO naomba urekebishe heading yako isiwe "BINTI WA KIKE". Mie ninachojua kuwa binti ni mtu wa jinsia ya kike .