Daa!! Kuna wanaume aise mna roho hili nalo ni jambo la kuja kuuliza huku aise,,, chukua maamuz ww,, na hiyo ndo tkert yake huko hom kwao,, kwanza piga pcha hiyo card ya mtt Ili uwe na ushahid,, peleka kwao siku akitaka kulud mwambie aende Kwa mme wake wa watt hao,, wambie na wazaz wake hapo hapo