mnadhimu mkuu wa jf
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 759
- 287
Ili liwe la kweli ulitaka lisomeke vp?hili bandiko sio mara ya kwanza kuletwa humu. Ni hadithi ya kutunga kwa ajili ya kutapeli wajinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tapeli wa Matapeli wote ni shetani, sasa unashangaa nini mganga kuwa tapeli?Huyo Mungu wa Kabili ni kijana mdogo tapeli anapatikana Bagamoyo Kitopeni kwa Mashaka karibu na shule moja ya sekondari. Ni matapeli wakubwa mmoja wao anaitwa kalunde. Kuna jamaa alienda huko akawekewa kuku kichwani kuku akafa jamaa akadanganywa hiyo ni roho ya mauti kuna watu wanataka wakuue. Inabidi utoe hela tuchinje punda na kondoo kuondoa hiyo roho. Jamaa akatoa hela wakaanza kumzungusha stori kibao na hakuna cha kazi wala nini. baadae ndio majirani wa pale wakamwambia hao sio waganga ni matapeli tu
THiki Ni tangazo la biashara.
Huyu dada anamfanyia mganga primo
#Huyu anamtangaza mganga wake we hujaelewa hapo!!?Kumbe mateso mengi ni ya kutengenezwa. Nimesoma kwa makini na nimeumia sana kwa unyama aliofanya huyo mganga. Ama kweli jina Yesu lina nguvu. Basi watu wote wakiokoka kikweli hakuna uovu duniani. Naomba hii habari isomwe kwa wingi ili watu wajue maovu ya hii dunia. Lakini usikute ni hadithi ya kutunga!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zako wasomi kutuliko wamekataa huu ujinga! Wanasema hakuna uchawi mbona rais hamjamloga!😤Hii story nimeisoma nikashindwa kuimaliza nikaamua ku i copy na ku paste sehemu kisha nimeprinti nitasoma baadae.
Ila nashukuru yule mwanamke wa Tanga nilishtuka mapema nikamuacha sikumuoa
Nilipomshtukia ni siku moja nilimkuta na hirizi nikaipasua nikakuta vipande vya nguo zangu zote ninazovaa
Hirizi nyingine nikakuta inapumua kama tumbo la chura anavyopumua.
Toka nilivyopasua ile hirizi alilia mno mno na kuanzia hapo tukawa tunagombana na nilikuwa namuona kama kimavi flani kinanuka
Baada ya kuachana dada yangu siku moja aliniambia neno ambalo hadi leo sijamuuliza alikuwa na maana gani.na alifanya nini .Aliniambia ulogwe tena.
Hii ni miaka32 iliyopita.
Wanaume huwa tunalogwa kila kona wake zetu,hawara zetu,makazini,kwenye bar ili tununue kila siku,kwa mama ntilie ili tukipata mshahara tunaweka huko,ma house girl wetu.
Kumloga raisi ni ngumu kwanza utampatia wapi? Pia raisi wa kiafrika haingii madarakani kilofa kuna watu wanamfuata ikulu kumuweka sawa.Zaidi ya yote watu wa dini zote wanakwenda kumuombea mchawi na shetani hawezi msogelea.Ndugu zako wasomi kutuliko wamekataa huu ujinga! Wanasema hakuna uchawi mbona rais hamjamloga!😤