R.I.P Dkt. John Pombe Joseph Magufuli rais wa awamu ya tano wa Tanzania, nakukumbuka kwa wema wako na mapenzi ya dhati kwa nchi na wananchi wa Tanzania.
😁😁😁😁😁😁 ubongo wako haufanyi kazi kwa kushirikiana.
Ndio maana umekuwa linyiha jinga na chawi kupata kutokea hapa Tanzania , pia kwasababu ulizaliwa kwa bahati mbaya kwa maana wazazi wako walikuwaga kwenye starehe😁😁😁😁
Mkuu, pole sana naomba kabla hujachukua huo uamuzi mfikirie mtoto mdogo aliye anza kuita baba. Kujiua siyo kutatua tatizo bali ni kuongeza tatizo kwa wanao baki hasa mtoto.
Jikaze na vumilia kwa sababu kila jaribu lina mlango wa kutokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.