Recent content by Dan Marconi

  1. Dan Marconi

    Nabaki na Ukatoliki wangu. Mchungaji ameniogopesha

    Hakuna ajaby kwa mwanaume kamili anaejihusisha na uchungaji kutongoza warembo,Hio mchungaji ni tittle tu ila behaviour ya uanaume haitoki ngo ,Harafu kuna mahala umesema ww sio cheap? kiaje ukubali offer ya kulala Lodge ya 40K, Nasema ivi hakuna lady anajielewa ni swala tu la kutengeneza...
  2. Dan Marconi

    Prof. Ndalichako apiga marufuku uvaaji wa Majoho kwa wahitimu ngazi za chini

    Nchi yangu bna Hvi kuna pahara pameandikwa joho lilikuwa designed kwa ajili ya wanachuo? Anapiga marufuku je Uvaaji wa vazi hilo ilikuwa utamaduni wetu? au tumeiga tu kwa Mataifa mengine..Hii imenisikitisha mno watanzania bna Yani kelele mingi kweli Sasa bado hao wanaongangani tittle kama...
  3. Dan Marconi

    Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

    Solar yetu ni Closed system ni ngumu kitu kama nyota kupita na kuivuruga Jua lina mass na gravity kubwa sana ya kulinda sayari zinazoli orbit japo ipo midude ya nyota zaidi ya nyota yetu jua ila elewa angani kila kitu kipo ktk motion na kina orbit kitu fulani chenye gravity kubwa ,Incase ya...
  4. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Ni mita za luku za kisasa kuepusha uchakachuaji huwekwa juu
  5. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Thank mkuu tuko pamoja
  6. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Si lazima ukiwa na main switch ya njia Kumi au ishirini utumie zote unaweza tumia hata njia moja tu na zingine kuziacha idle for future extension au incase hio moja imeharabika basi unahamisha tu line
  7. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Maji(falls) maporomoko hutengeneza Mechanical energy ambayo hio mevh energy tunaitransform kupata umeme Maji huponoromoka ktk height kali na hukutana na turbines ambayo hupigwabna maporomoko na kupelekea KuZungushwa kwa turbine kumbuka tunahitaji vitu vitatu ili kufua umeme Motion(Mzunguko)...
  8. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Ni economy facts ndio zinatupelekea tupendelee kusafirisha AC kuliko Dc Technical Ac inatabia moja ambayo ndio hutufanya tupendelee kuisafirisha over distance tabia hii ni kuwa ac unaweza kupandisha volts by using transformer hapo ukikuza volts current itapungua na kupelekea Kuhitaji waya wenye...
  9. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    N.Tesla amefanya amazing sana ktk field Kilichopelekea kutomuona vitabuni ni kuwa hakuwa mwingereza waka muamerika ndio maana amekuwa hidden ,Faraday ni English physcist amefanya mengi ila kwa Tesla bado hamfikii
  10. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Ni kizio cha Power sasa hakitumiki sana ktk rating ya vifaa badala yake tunatumia Watts
  11. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Tarrif unaweza kuhama kutegemea na matumizi wapo wateja wa T1,T2 ambao ni watumiaji wa kawaida T3 na T4 ni industrial users
  12. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Calculate too mkuu hapo 1 horse power ni watts. 746Watts chukua power zidisha na muda utapata Energy consumed in term of KwH ambapo I kWh ni unit moja
  13. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Mkuu ili Ule waya uwe na ufanisi yani efficieny basi tunahitaji hapo tulipoufukia pawe na hali ya unyevu nyevu muda wote ili tupate earth point safi kazi ya mkaa ni kuvuta maji au kufanyq pawepo na unyevu nyevu muda wote huwa tunaweka mkaa na chumvi mara nyingi ili kuhakikisha unyevunyevu...
  14. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Single Phase iko na constant rating ikiingia ktk main switch Basi hugawqnywa kupitia miniature circuit breaker
  15. Dan Marconi

    Uliza swali lolote kuhusu umeme

    Umeme ni mtiririko wa Electrons Kama umesoma vizuri structure of matter utagundua kuwa electrons ni iko nje na orbit Nuclear ambapo nuclear ina Protons and Neutrons, Sasa kila Material yana external structure ya Electrons na Orbit hizi tunaita Valance orbit ambapo ndio hudetermine nature na sifa...
Back
Top Bottom