Habarini wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada wilaya ya KILOMBERO imekua na utaratibu wa kuhamisha hamisha walimu pasi na sababu za msingi. Swala ambalo limekua likiathiri sana katika utendaji mfano mwaka juzi walifanya 2017 hivyo na kupelekea mvurugano mkubwa, safari hii wameanza tena na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.