nawashukuruni wan jf ushauri wenu ni sahihi kweli niliona mzaha lakini sinema inaendelea, niliyoipata leo kwa mama mkwe bila kujua anaongea na mimi nikali, yele m,dada kumbe anajulikana hd kwa mkwe kanishtaki mara cm haloo we nani mmmh nkashangaa nanasema mie fulani nasikia suti ya mamake...
Hello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,
nilimpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi...
Kwakweli swala la mtoto ni majaliwa ukipata sawa ukikosa sawa, hipaswi kuteteresha ndoa, kunawengine wanapata ujauzito unatoka au mtoto bahati mbaya, nikuvumilia tuu hadi hapo Mungu atakapo wapa, utakuta mwingine amebahatika kupata mtoto kabla ya kuoa, akija kuoa na akakosa bado anamnyanyasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.