Recent content by Damas

  1. D

    Jengo la International House lawakamoto!!

    hiyo ni fire drill. Hufanyika kwa ajili ya usalama endapo moto utatokea. wafanyakazi hawakujua
  2. D

    Mabadiliko ya tofauti ya masaa kati ya nchi moja na nyingine ndani ya mwaka mmoja

    tofauti ya saa ni longitude na zone na time ni fixed
  3. D

    Maiti ya Mwanajeshi wa JKT yaokotwa porini Makutupora Dodoma

    Jeshini watu wanaishi kwa bahati. mtu unajongo unaenda vichakani mbali mfano tabora kuna simba nyoka nk. siku moja nilijongo tukapoteana na wenzangu mahali tulipokuwa tunachoma mahindi nikaona nyoka mkubwa sana. ilibidi niache mahindi na kurudi jeshini. mbaya zaidi askari akifariki mnatangaziwa...
  4. D

    Jeshi la kujenga Taifa Msange Tabora 823Kj

    mimi nimepita hapo mwaka 1985, mlangoni kulikuwa na kabamizi, kairon, B- coy kulikuwa na kimbunga , parahara na wengine. Chakula mpaka unyakue mara tatu. afande aangalie na namba ya kiatu. Jeshi linataka nidahamu na akili nyingi.
  5. D

    GE2010 Japo inauma, Kizuri mshirikishe na mwenzio!

    usanii mptupu. mbona huonyeshi yaliyofanyika?
  6. D

    Kunguru katua juu ya kichwa changu, nashauriwa niende Bagamoyo, ni sahihi?

    mimi nimeshambuliwa na kunguru pale jamhuri karibu na bakhresa. imepita miaka 4 na sijapata tatizo lolote
  7. D

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Ukienda hospitalini kinaondolewa kwa operation ndogo. Nimeona watu wawili wamefanyiwa bila matatizo yoyote. Gharama sikumbuki
  8. D

    Kuvimba mashavu

    Dawa ya ugonjwa huo ni hiyo hiyo na unaambukiza kwa hewa kwani mtoto wangu aliugua na wengine wakafuata ikiwa ni pamoja na mimi. kuna maumivu makali hasa wakati wa kula au kunywa lakini akipata ampliclox hali hiyo huisha. mpeleke hospitali kwani ni ugonjwa unaojulikana
  9. D

    Can u solve this???

    mbona siwezi kusevu jina langu kwenye ile spread sheet
  10. D

    Pambanua

    Maoni yako tu. Dini zipo kama watu walivy0 wengi
  11. D

    Hizi ndo hoja za wabunge wetu

    kazi ya komba ni muziki. ungetegemea nini kutoka kwake?
  12. D

    Polisi wapigwa kama wezi, wanusurika kuchomwa moto!

    Polisi wana usimamizi mbovu na hiyo imechangia kujisahau. Kawe polisi jamii wameokota silaha na kuripoti kituoni hakuna aliyejali. silaha ikachukuliwa na polisi wa oystabay ikaenda kwa mkuu wa kanda lakini mkuu wa kituo kawe hajui. Kuna polisi kawe?
  13. D

    Polisi Tarime wasaidiwa simu 100 - HII IMEKAAJE?

    Polisi wanapokea misaada toka kwa wafanya biashara hii ni udhaifu fulani wakifanya makosa watafumbiwa macho
  14. D

    Polisi Tarime wasaidiwa simu 100 - HII IMEKAAJE?

    je akifanya makosa polisi hawatamwonea aibu?
  15. D

    Je ulishawahi pata tatizo kama hili?

    umefanya service wapi? Jaribu kufanya service pale total shekilango. wale jamaa wana oil za uhakika. kwa hiyo kama ni oil watakusaidia.
Back
Top Bottom