Recent content by Dam Boe

  1. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

    Mambo ya msingi kuzingatia 1: Huduma za Kijamii 2: Urahisi wa kufikika 3: Shuguli zako za kiuchumi na kiwango cha kipato 4: Mandhari 5: Mipango endelevu ya Serikali kwa eneo hisika 5: Fursa zilizopo na zinazotarajiwa kuwepo Uchaguzi wa wapi sahihi unabaki kwako kulingana na baadhi ya matakwa...
  2. Dam Boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitaalamu hii inaitwaje?

    Katika maisha yako
  3. Dam Boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitaalamu hii inaitwaje?

    Kama unaweza kusamehe samehe halafu piga kimya kama anajitambua atajirudi akila buyu inakua umesamehe tena. Ni njia Bora ya kuwapunguza watu wasio sahihi katika circle ya watu wa karibu.
  4. Dam Boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli mjini ni msingi kiuno..

    Japo upo uhuru wa kuishi na maamuzi lakini hii dhahiri ni ufinyu wa fikra
  5. Dam Boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa mtandaoni wengi wahuni

    Ebu jaribu kwangu mimi kwanza tujue kama kweli wanaume wa mtandaoni malaya
  6. Dam Boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

    Kama ni Mwanamke ilitunguliwa kabla hujaolewa na now ni single mother ndo mana unaleta makasiriko na kama ni Mwanaume basi ulioa mwenye tundu kama la Ozone Layer mkuu
  7. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu, vijana wetu, umasikini wetu

    Muda mwingi unatumika kumfundisha mwanafunzi ambaye anashindwa kujiajiri baada ya hapo it's a shame siyo kwa vijana bali kwa Taifa kutokana na kushindwa kuwanyanyua hao vijana kwa namna nyingine na kubaki na porojo tu za ruzuku hewa kwa vijana.
  8. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Ni vyuo gani vya Serikali vinatoa diploma ya ualimu wa shule ya msingi?

    Vikindu Teachers College
  9. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Wadau karibuni tupeane fursa mbalimbali za kufanya mtaani ili tusogeze maisha

    Wanakupa kazi zao kwa wiki mara ngapi na vigezo vya kupatiwa kazi hizo za survey ni vipi
  10. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Wadau karibuni tupeane fursa mbalimbali za kufanya mtaani ili tusogeze maisha

    Kwangu mimi ni SMART RETAIL, BLOCKCHAIN pamoja na FOREX.
  11. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania #SmartRetail one side hustle

    Habari wakuu, Natumai kila mmoja yuko njema kwenye majukumu yake. Leo nimeona niwasogezee wanajf hii fursa ambayo inatokana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia na si nyingine ni hii Smart Retail. Smart Retail bwana hii ni platform ambayo inakuwezesha wewe kuinvest katika uuzaji wa...
  12. Dam Boe

    JamiiForums Tanzania Markerting segmentation

    Wooooooww...!!!
Back
Top Bottom