naomba kuchangia kidogo, kuhusu vyanzo vya maji kwa ajili ya kuzalisha umeme, ethiopia wametuzidi sana sana nawaeleza, ni nchi ya pili kwa africa kuwa na chanzo kikubwa cha maji kuzalisha umeme, ya kwanza ni drc kwa kabila, hii nafikiri ni duniani inaongoza, sema ndio hawajaweza ku invest. Drc...