Recent content by Dallas green

  1. Dallas green

    Nimeanza mazoezi kutembea KM 15 nachunika mapaja

    Piga squart kila cku ukiwa umetanua miguu itazuia kusuguana, kama hutofany ivo utakua unatoa haruf mbaya na kua na mapaja meusi kama ngoz ya fisi
  2. Dallas green

    Kama Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu hawa akina Mwamposa na wenzake ni Mitume wa nani?

    Wa uongo hao ndugu una macho lakin unakua kipofu? Una maskio lakn unakua kiziwi? Hao mwamposa na mussa ni manabii wa shetani
  3. Dallas green

    Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

    Binadam tuna upeo mdogo sana wa kuweza kuelewa Mungu yupoje kwaiyo ni vizuri tusijipe kazi ambayo hatuiwezi mwishowe tukaishia kukufuru.
  4. Dallas green

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Ameshataja majina ya anaowajua?
  5. Dallas green

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Dah sasa si umuombe mzee wako amueke mange kimambi kwene mti ili kuwasaidia CCM
  6. Dallas green

    Matarajio ya Rais Samia kwenye Utalii ni makubwa, tumsaidie ku-brand utalii kama bidhaa

    Kama ana nia ya dhati bas awabane wale wanaofisadi kwa kuanza na riport za CAG kuzifanyia kazi ipasavyo mfano kuwatumbua wahusika na kuwashtak au kutaifisha mali zao zote kufidia
  7. Dallas green

    Matarajio ya Rais Samia kwenye Utalii ni makubwa, tumsaidie ku-brand utalii kama bidhaa

    Ana nia njema kwakweli lakin pia awe anasimamia vizur pesa zinapatkana kwa sasa sabu unaweza ukatumia nguv kutafuta lakin usiposimamia watu wataziiba na kuzifisadi kitu ambacho kitafanya work done sawa na zero
Back
Top Bottom