Kama ana nia ya dhati bas awabane wale wanaofisadi kwa kuanza na riport za CAG kuzifanyia kazi ipasavyo mfano kuwatumbua wahusika na kuwashtak au kutaifisha mali zao zote kufidia
Ana nia njema kwakweli lakin pia awe anasimamia vizur pesa zinapatkana kwa sasa sabu unaweza ukatumia nguv kutafuta lakin usiposimamia watu wataziiba na kuzifisadi kitu ambacho kitafanya work done sawa na zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.