Recent content by DAGOME KAKAMKUU

  1. DAGOME KAKAMKUU

    Itoshe kusema January Makamba, ulipandisha bei ya mafuta na ukavuruga TANESCO, bila sababu

    TATIZO NI kupeana nafasi kwa wewe ni mtoto wa nani..? Wanawapeleka watoto wao wakasome ulaya, mimi nilijua wakija watakuja na AKILI ZA KIZUNGU wabuni mamitambo na mambinu ya maana kumbe wanaandaliwa kufanya kazi za kuomba KURA kazi ambazo inaitaji Mtu ajue kusoma na kuongea vizuri TU 🤣🤣🤣🤣🤣
  2. DAGOME KAKAMKUU

    Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

    Aliandika Mtu kama Mtu 😁😁😁
  3. DAGOME KAKAMKUU

    Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

    Yani Yani unasema watu wa jamii moja wakazaaa watoto wa jamii nyingine..?? Yani muethiopia mkushi mweusi awe ni baba mmoja na mrusi mweupe peeee 🤔🤔🤔 KUBWA JINGA inama ufikiri 🤣🤣🤣
  4. DAGOME KAKAMKUU

    Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

    Yani Yani unasema watu wa jamii moja wakazaaa watoto wa jamii nyingine..?? Yani muethiopia mkushi mweusi awe ni baba mmoja na mrusi mweupe peeee 🤔🤔🤔 KUBWA JINGA inama ufikiri 🤣🤣🤣
  5. DAGOME KAKAMKUU

    Viongozi wa Yanga na Salamu za Dini moja

    Kaka nenda mpaka TFF angalia wakati wa kutoa tuzo pale Tanga yani mpaka kalio nae ni ivo ivo adi unajiuliza "uyu kalio amepataje urais..??" Alafu ulishawai juiliza kwa nini ni Watu wa dini moja tu ndio wenye iyo tabia...?? Kwani hii Nchi ni ya Dini mbona ata mashuleni walimu wanalazimisha...
  6. DAGOME KAKAMKUU

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Kama kuna mtu anataka akutoe wasiwasi ni sawa na Mtu anataka akutoe akili sababu WASIWASI = AKILI
  7. DAGOME KAKAMKUU

    Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Kizazi Gani icho mkuu..?? Yesu alisema akiwa wapi....? Yesu alisema mwaka Gani....?? TANZANIA sio ISRAEL 😎😎 Nchi hii haindeshwi kwa Vitabu vya tamaduni za watu wa huko tena wa kale. Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Vitabu vyetu na busara za WAZEE, viongozi wetu wa sasa na sio wa kale na...
  8. DAGOME KAKAMKUU

    Ila Roman Abrahamovich alikuwa kiongozi kweli

    Ukiongea ivo basi sifa na utukufu wapewe wagriki maana sayansi na siasa wao ndio founder ata ili neno democracy ni mzizi wa wagriki Asa mbona unawapa Jews na sio griki
  9. DAGOME KAKAMKUU

    Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

    Bro unazungumzia kupata elimu au kutoboa...?? Kutoboa katika nyanja ipi uchumi au Elimu..?? Kupata Elimu ni haki ya kila Mtu, lakini kusoma au kutafuta elimu kwa bidii ilo ni jukumu lako na sio HAKI. Wewe kama uliweza katika izo shule za KATA vipi wengine walishindwa..?? Lazima utumie...
  10. DAGOME KAKAMKUU

    Rais Kagame: Ni Ruksa wa Raia wa Nchi yoyote ya Afrika kuingia Rwanda bila Viza

    Muongeze na hiki kidonge Cha Tanzania ardhi ni Mali ya UMMA uko Kenya ardhi ni Mali ya Kenyatta na ukoo wake 😁😁😁
Back
Top Bottom