Kitu kuwepo toka zamani hakimaanisha kwamba hakikuwa cha kijinga toka hiyo zamani.
Ila kikubwa kuhusu zamani ni kwamba wanawake walikuwa wanaolewa wakiwa bikra. Kulipia bikra ni sahihi kabisa. Ila kulipia tobo walilopita wenzako ni upumbavu wa hali ya juu.
Aziz Ki ni mtoto mdogo bado...
Uko sahihi kabisa mwanangu, ila wajinga ni wengi dunia hii watakupinga. Sio kila mwanaume anajielewa kikamilifu linapokuja suala la kuoa. Wengi wanaoa ili kufurahisha watu kama vile wazazi, ndugu, majirani na wanakosali.
Acha ujinga wewe. Yaani katika ufala unaoweza ukafanya duniani ni kumlipia mahari mwanamke asiye na bikra. Mwanamka kama hana bikra we chapa tembea. Kama umempenda sana, basi tia mimba zaa naye mlee mtoto au watoto. Lakini sio kulipia mahari.
Wote waliolipia mahari wanawake ambao hawakuwatoa...
Hawajulikani hao. Mi ndo nawasikia leo toka kwako.
Yaani hata Kinje mtoto wa Kingunge alikuwa anajulikana enzi zake ameshika maegesho ya jiji la Dar pamoja na stendi ya mabasi ya mikoa Ubungo.
Hata maraisi wengine watoto wao sio wote wanajulikana.
Kwa Mwinyi anajulikana Hussein Mwinyi tu.
Kwa Mkapa hakuna hata mmoja anayejulikana.
Kwa Kikwete anajulikana Ridhwani.
Kwa Magufuli anajulikana Jesca.
Na kwa Samia hakuna anayejulikana.
Hakuna ulazima wa kuwajua watoto wa Marais...
Shida yenu kubwa nyinyi wanawake watu wakweli hamtutaki. Mi mwenyewe zamani nilikuwaga mkweli nikapataga demu mmoja mbaya kama mbibi vile watu kumbe wananicheka kisogoni. Ila nilipochangamka na kuanza uongo nimekula mpaka mzungu, mwarabu, mchina na msomali. Wa kibongo hao ndo usiseme hakuna mkoa...
Kwani huu utaratibu wa kukatiwa rufaa nje ya nchi yako uko nchi gani na gani?
Hayo mataifa unayoyataja nayo yana huo utaratibu, au yanamaliza matibabu yote ndani ya nchi?
Sio lazima uwe na fremu Kariakoo.
Nenda Magomeni hapo fremu mpaka za laki mbili kwa mwezi zipo.
Au nenda Manzese kuna fremu za mpaka 70,000/- kwa mwezi 2025 hii hii.
Serikali ilishajitoa kwenye kudhibiti kodi za pango. Wenye viwanja wana uhuru wa kutoza kodi yoyote ile wanayoona inafaa.
Unagomea mali ya mtu? Hahahahahaaa.. Hawajitambui hao wa Urafiki na wamefundishwa somo la practical kuhusu soko huria.
Biashara ya ardhi ukiona bei ziko juu dawa ni na wewe ujipange uingie ujenge uwapige wapangaji.
Ila serikali ilishafuta sheria ya kudhibiti kodi za pango kwa hiyo sasa hivi...
Samaki sato na sangara walioko kwenye ziwa Nyanza wanakula nini mpaka wanakuwa madude makubwa kabisa?
Nahitaji maarifa ya kutengeneza mazingira kama ya ziwa Nyanza katika ukubwa mdogo kabisa unaowezekana.
Halafu nasikia samaki wanakua vizuri tu wakila vinyesi kama vya kuku na binadamu. Je una...
Weka rekodi ya kufungwa mara nne mfululizo na Yanga ya sasa hivi.
Na weka rekodi ya kufungwa mara sita mfululizo na Yanga ya mwaka 1990-1992, ambapo kuna mechi mlikimbia uwanjani baada ya kuona alilowaambia mganga wenu halijatiki. Mlicheza first half ikawa 0-0 wakati mganga aliwaambia mtashinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.