Recent content by DadiMkaliWao

  1. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbali na Chaneli ya Al-Jazeera kuzuiwa kwenye Visimbuzi Tanzania, tovuti yao pia imepigwa pini! Mnaficha nini?

    Kwani wewe ulitaka kuona nini? Na ili iweje? Ulitaka serikali ianguke halafu Tanzania igeuke kuwa Somalia au Sudani? Elewa kwamba serikali ina jukumu la kulinda maslahi mapana ya nchi. Na maslahi mapana makuu kuliko yote ni kuhakikisha serikali haianguki kwa namna yoyote ile.
  2. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbali na Chaneli ya Al-Jazeera kuzuiwa kwenye Visimbuzi Tanzania, tovuti yao pia imepigwa pini! Mnaficha nini?

    Kwani serikali ya Qatar sio mabepari? Mwarabu ana upendo wowote kwa Mwafrika?
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliyetoa Tsh. Milioni 30 na Ng'ombe 30 kama mahari hana tofauti na wewe uliyetoa mahari ya Tsh. Milioni 1. Wote akili zenu zinafanana

    Kitu kuwepo toka zamani hakimaanisha kwamba hakikuwa cha kijinga toka hiyo zamani. Ila kikubwa kuhusu zamani ni kwamba wanawake walikuwa wanaolewa wakiwa bikra. Kulipia bikra ni sahihi kabisa. Ila kulipia tobo walilopita wenzako ni upumbavu wa hali ya juu. Aziz Ki ni mtoto mdogo bado...
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka kumlipia mahari mwanamke uliyekuta hana bikra. (Ndaza)

    Uko sahihi kabisa mwanangu, ila wajinga ni wengi dunia hii watakupinga. Sio kila mwanaume anajielewa kikamilifu linapokuja suala la kuoa. Wengi wanaoa ili kufurahisha watu kama vile wazazi, ndugu, majirani na wanakosali.
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Acha ujinga wewe. Yaani katika ufala unaoweza ukafanya duniani ni kumlipia mahari mwanamke asiye na bikra. Mwanamka kama hana bikra we chapa tembea. Kama umempenda sana, basi tia mimba zaa naye mlee mtoto au watoto. Lakini sio kulipia mahari. Wote waliolipia mahari wanawake ambao hawakuwatoa...
  6. D

    JamiiForums Tanzania TANZIA John Nyerere afariki dunia

    Hawajulikani hao. Mi ndo nawasikia leo toka kwako. Yaani hata Kinje mtoto wa Kingunge alikuwa anajulikana enzi zake ameshika maegesho ya jiji la Dar pamoja na stendi ya mabasi ya mikoa Ubungo.
  7. D

    JamiiForums Tanzania TANZIA John Nyerere afariki dunia

    Hata maraisi wengine watoto wao sio wote wanajulikana. Kwa Mwinyi anajulikana Hussein Mwinyi tu. Kwa Mkapa hakuna hata mmoja anayejulikana. Kwa Kikwete anajulikana Ridhwani. Kwa Magufuli anajulikana Jesca. Na kwa Samia hakuna anayejulikana. Hakuna ulazima wa kuwajua watoto wa Marais...
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

    Shida yenu kubwa nyinyi wanawake watu wakweli hamtutaki. Mi mwenyewe zamani nilikuwaga mkweli nikapataga demu mmoja mbaya kama mbibi vile watu kumbe wananicheka kisogoni. Ila nilipochangamka na kuanza uongo nimekula mpaka mzungu, mwarabu, mchina na msomali. Wa kibongo hao ndo usiseme hakuna mkoa...
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

    Kapigwa na kitu laini tu... hakina hata mfupa!
  10. D

    JamiiForums Tanzania Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

    Kwani huu utaratibu wa kukatiwa rufaa nje ya nchi yako uko nchi gani na gani? Hayo mataifa unayoyataja nayo yana huo utaratibu, au yanamaliza matibabu yote ndani ya nchi?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Unahitaji Mastermind Group Ili Uweze Kupiga Hatua Kubwa Kwenye Uwekezaji Wa Ardhi au Majengo

    We manotisi yote haya ya nini? Ukishamnukuu Napoleon Hill kwa hapa Bongo tunajua wee ni mweupe tu.
  12. D

    JamiiForums Tanzania KILEMBA: Dhuluma/ uporaji/ unyang'anyi kwa wafanyabiashara wapangaji katika majengo ya Kariakoo

    Sio lazima uwe na fremu Kariakoo. Nenda Magomeni hapo fremu mpaka za laki mbili kwa mwezi zipo. Au nenda Manzese kuna fremu za mpaka 70,000/- kwa mwezi 2025 hii hii. Serikali ilishajitoa kwenye kudhibiti kodi za pango. Wenye viwanja wana uhuru wa kutoza kodi yoyote ile wanayoona inafaa.
  13. D

    JamiiForums Tanzania KILEMBA: Dhuluma/ uporaji/ unyang'anyi kwa wafanyabiashara wapangaji katika majengo ya Kariakoo

    Unagomea mali ya mtu? Hahahahahaaa.. Hawajitambui hao wa Urafiki na wamefundishwa somo la practical kuhusu soko huria. Biashara ya ardhi ukiona bei ziko juu dawa ni na wewe ujipange uingie ujenge uwapige wapangaji. Ila serikali ilishafuta sheria ya kudhibiti kodi za pango kwa hiyo sasa hivi...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kufuga samaki inalipa sana. Ila ni kwanini wengi hupata hasara?

    Samaki sato na sangara walioko kwenye ziwa Nyanza wanakula nini mpaka wanakuwa madude makubwa kabisa? Nahitaji maarifa ya kutengeneza mazingira kama ya ziwa Nyanza katika ukubwa mdogo kabisa unaowezekana. Halafu nasikia samaki wanakua vizuri tu wakila vinyesi kama vya kuku na binadamu. Je una...
Back
Top Bottom