Recent content by Daddo

  1. Daddo

    Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

    Fanya kipimo cha CT scan, mimi niko na shida kama yako ila mimi ni maumivu ya tumbo hasa upande wa kulia kwa juu kidogo nilifanya hicho kipimo na kinaonesha kuna shida tumboni inayohitaji upasuaji kwa kuwa imeshakuwa kubwa. Ila kama ingekuwa mwanzoni pengine isingehitaji upasuaji. Nakushauri...
  2. Daddo

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Siyo Jeshi tu hata sekta zingine zinapaswa kuonyesha umahiri wa technolijia. Sasa jiulize wewe kwenye sekta yako kuna kipi kipya kinachoendana na wakati au ndiyo ile kutoa kibanzi kwenye jicho la mwingine ilhali nawewe una boriti jichoni?
  3. Daddo

    Azam Tv kupita channel ya sinema zetu, wawaombe msahama walimu kwa kuwadhalilisha

    Kosa la Azam liko wapi? Na kosa la waigizaji liko wapi? Kwamba mwalimu hawezi kuwa mjinga ama?
  4. Daddo

    Waziri wa Afya atuombe radhi Wakulima na Wafanyabiashara ya matunda

    Hahahaaa we jamaa umenichekesha sana
  5. Daddo

    DOKEZO Responded Rais Samia, Watumishi Wastaafu wa Jeshi tunaomba utusaidie kupata stahiki zetu, tunateseka

    Kuna watumishi wanaofanya kazi jeshini mfano baadhi ya waalimu, kada ya afya, baadhi ya makarani n.k nadhani hawa ndiyo wahanga wa hili swala. Kwenye mifuko ya jamii wanajeshi hawachangii ila watumishi wa kiraia wanachangia. Mtoa mada angeweka wazi ili watu wajue pa kuanzia kusaidia kuokoa jahazi.
  6. Daddo

    Hospitali za Gaza zafurika majeruhi, Wapalestina huko Gaza waiomba Dunia iingilie kati

    Kwanini wavamie kambi za jeshi kwamba wanajeshi ndiyo walipaswa kuuawa tu bila sababu ya msingi? Kwanini usiseme wavamie viongozi wa serikali?
  7. Daddo

    Napendekeza Serikali ya Tanzania ichapishe Noti za Shilingi Elfu (50,000) na Laki moja (100,000)

    Unaweza kukuta nawewe una degree ya uchumi. Kama ni hivyo acha tu Msukuma atukane wenye elimu maana inasikitisha
  8. Daddo

    Ogopa mwanamke anayedai pesa ya matunzo

    Mara paap unakuta jamaa naye kumbe ni mwanamke daah! Sema ana kitu, asikilizwe vizuri
  9. Daddo

    Njombe: Kijana awafungia wanawake 3 ndani na kuwabaka kwa zamu, mmoja kambaka kwa saa 11

    Ukiacha miehemka na kutafakari kwa kina huyu jamaa anaweza kushinda hii kesi
  10. Daddo

    Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

    Siku watanzania watakapoamua kufanya kazi kabisa na kuacha kupambana na kivuli cha Magufuli, kuendelea kulinganisha utendaji wa viongozi, na ushabiki wa vitu vya hovyo kama Simba na yanga, taifa litapiga hatua kubwa sana.
  11. Daddo

    Wabunge wafunguka sababu za kuvunjika kwa ndoa

    Naifunguaje hii attachment
  12. Daddo

    Wabunge wafunguka sababu za kuvunjika kwa ndoa

    Hizi attachment mnazifunguaje? Mbona kwangu haifunguki nikiclick?
Back
Top Bottom