Recent content by dada mkweli

  1. D

    Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

    Una laana mpaka shetani anajua Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    _______________________
  3. D

    Baada ya kutafuta mtoto kwa muda mrefu na kukosa hata hisia za kufanya nae mapenzi sina

    Ndg yangu mpendwa, hivi miaka mitatu tu unakata tamaa ? Umeshathibisha kama mkeo ndio ana matatizo au mmezoea kuona upande mmoja ? Vipi kwenda kwenye vipimo ? Mtoto ni zawadi ambayo mungu huamua kumpa mwanadamu kwa wakati wake, pamoja na vipimo, kuwa na imani, wkt wa mungu ukifika utapata...
  4. D

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Unajua ungali bado unaishi usiongee mabaya, hapo ulipo hujui kesho yako. Wengine wamekuwa hivyo kutokana na mazingira waliyokutana nayo. Wengine walifiwa na kubaki wakilea watoto peke yao. Kuna mambo mengi mtu amepitia mpaka akawa hivyo, usipopitia wewe wanaweza kupitia watoto wako. Usimtukane...
  5. D

    Kwa hali hii niendelee nae au nimuache tu!!

    Muombe mungu akuongoze kwa jambo hilo la kutafuta mwenza kwa akili na macho yako pekee huwezi. Moyo wa mtu una siri nyingi/anayeujua moyo wa mtu ni mungu pekee. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Naomba mawazo yenu juu ya mzazi mwenzangu kuhusu mtoto

    Ila na wewe, mtoto wa miaka minne ni mdogo sana kumtenganisha na mama yake, Ila kwakuwa na yeye hakai nae, kuliko kumsumbua bibi bora ukae na mwenyewe, hapo inategemea hekima na busara zako kuongea na mama mtoto wako Sent using Jamii Forums mobile app
  7. D

    Jina la mtoto wa kike linaloanza na herufi "G"

    Giveness Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    TRA na kodi ya majengo ulaji mtupu

    Kwanini hukufuatilia? Lazima risiti ifanane na bei waliyoiandika kwenye hiyo barua yao. Inawezekana pia mchapaji alicopy barua ya mtu mwingine. Post sent using JamiiForums mobile app
  9. D

    Umri umeenda: Nahitaji mchumba aje awe mke mwenye sifa hizi ndani ya mwaka huu

    Gudume mtangulize mungu katika hitaji lako, wewe utaona utu wa nje lakini mungu anaona ndani. Mke mwema anatoka kwa mungu pekee, dumu ktk kuomba utampata anaestahili, kila la kheri
  10. D

    Dada, uliza lolote la msingi kuhusu sisi wanaume, nitakujibu

    Hivi inawezana ukawa kwenye mahusiano na mwanamke mpaka ukampa. Mimba, alafu ikawa ni bahati mbaya ? Sijui kama nimeliweka vizuri hilo swali
  11. D

    Tumeshindwana na aliyekuwa mpenzi wangu, nimempeleka mahakamani, sasa anaomba msamaha

    Nakupongeza kwa maauzi yako na ujasiri uliounyesha wa kuuthamini mwili wako, siku zote mwanamke ukionyesha msimamo wako unaonekana mkosaji, upo sawa kabisa, endelea kujitunza ili kusudi la mungu litimie huyo hakuwa mume wako, uvumilivu wako utapata unachostahili.
  12. D

    Wanawake mmekuwa wachafu sana siku hizi

    Kwanza futa usemi wako kuwa, wanawake wachafu. Ungesema mwanamke uliiyekutana nae ni mchafu. Ulimwambia ukweli au umekimbilia huku kumsema atajuaje kosa lake? Una kazi , hivi unawezaje kukutana na mtu siku moja ukaenda nae? Ndio malipo ya uliyokutana nayo.
Back
Top Bottom