Rudaguza01
Member
- Aug 11, 2017
- 92
- 37
Mnamo miaka 5 iliyopita nlikuwa mfanyakazi kwenye kampuni Fulani kule arusha, ilitokea nikajikuta naangukia kwenye mtego wa kimapenz na binti mmoja ambae alinitega kisawa sawa.
Wiki mbili za mahusiano yetu binti aliniuliza kuwa nitamuoa lakn kutokana na kipaumbele cha malengo yangu ya kimaisha kwanza, nlimwambia ukweli kuwa bado hlo suala bado sjaliweka kwenye front page ya maisha yangu kwahyo jibu ni bado mapema sana na hatujafahamiana Tabia zetu kuahidiana kuoana.
Baada ya hapo binti aliniomba kusitisha uhusiano na mimi baada ya kuona kuwa hakuna ndoa.
Kumbe wakati tunasitisha mahusiano yule binti alikuwa ameshashika ujauzito na hakuniambia mpaka akaondolewa kazini hadi pale alipo jifungua ndo akanipgia simu akiniambia alikuwa na mimba yangu na amejfungua na malengo ni kuniuliza kama motto namkubali au namkataa..!
Nilimkubali mtoto nikaanza kusimamia mahitaji yote mavazi, magonjwa na gharama zote zimuhuzo mtoto. Mwaka Jana nimetoka kazini nikakuta ametoweka kwao na mwanangu kwa kisa eti alienda kufanya kazi na mwanetu.
Nlipomtaka alete mtoto amuone baba alidai nitume nauli nikamtumia na ilikuwa juzi tu mwaka huu lakini cha kushangaa amekuja akiwa mjamzito tena na malengo alikuwa anampeleka kwao amuache huko mwanangu ili arudi alikokuwa.
Mtoto saiv ana miaka minne nilikuwa nataka nimtoepo ili akasomee kwenye shule ninayoitaka mimi lakn ninanyimwa mtoto wakati mtoto ananililia sana na pale alipo yupo na bibi mzaa mama yake na hayuko na wazazi wake baba na mama lakn Mimi namhitaji sana japo nipo single bado.
Nifanyeje kumpata ili nimpe huduma zote nikiwa nae karibu? Nitashukuru kwa maoni na ushauri wenu;
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki mbili za mahusiano yetu binti aliniuliza kuwa nitamuoa lakn kutokana na kipaumbele cha malengo yangu ya kimaisha kwanza, nlimwambia ukweli kuwa bado hlo suala bado sjaliweka kwenye front page ya maisha yangu kwahyo jibu ni bado mapema sana na hatujafahamiana Tabia zetu kuahidiana kuoana.
Baada ya hapo binti aliniomba kusitisha uhusiano na mimi baada ya kuona kuwa hakuna ndoa.
Kumbe wakati tunasitisha mahusiano yule binti alikuwa ameshashika ujauzito na hakuniambia mpaka akaondolewa kazini hadi pale alipo jifungua ndo akanipgia simu akiniambia alikuwa na mimba yangu na amejfungua na malengo ni kuniuliza kama motto namkubali au namkataa..!
Nilimkubali mtoto nikaanza kusimamia mahitaji yote mavazi, magonjwa na gharama zote zimuhuzo mtoto. Mwaka Jana nimetoka kazini nikakuta ametoweka kwao na mwanangu kwa kisa eti alienda kufanya kazi na mwanetu.
Nlipomtaka alete mtoto amuone baba alidai nitume nauli nikamtumia na ilikuwa juzi tu mwaka huu lakini cha kushangaa amekuja akiwa mjamzito tena na malengo alikuwa anampeleka kwao amuache huko mwanangu ili arudi alikokuwa.
Mtoto saiv ana miaka minne nilikuwa nataka nimtoepo ili akasomee kwenye shule ninayoitaka mimi lakn ninanyimwa mtoto wakati mtoto ananililia sana na pale alipo yupo na bibi mzaa mama yake na hayuko na wazazi wake baba na mama lakn Mimi namhitaji sana japo nipo single bado.
Nifanyeje kumpata ili nimpe huduma zote nikiwa nae karibu? Nitashukuru kwa maoni na ushauri wenu;
Sent using Jamii Forums mobile app