Mafundisho ya kanisa na ukristo unakataza kabisa kumuwamba mtu. Kila mtu ni dhaifu. Na kama kiungo cha kanisa kimekuwa dhaifu maandiko yanafundisha namna ya kushauri na kuonya. Hi wewe Britanicca. Ukasikia mtumishi wa kabisa au mtu yoyote akiutaja uovu wako hadharani pasi na kukushauri au...
Brittanica
Wewe sio Mlutheri na hujui chchote kuhusu ulutheri. Na elewa Mwenyezi Mungu sio mtu. Unaweza kucheza na kila mtu kwa kila hali lakini huwezi kucheza na mtumishi wa Mungu. Na kama wewe unadhani nakutania. Muda utakufundisha maana kwa hakika nakuambia kiburi cha uzima kingali kina kuvu...
magufuli ameunda jopo akiwa kama nani?
Na jopo hilo kitafanya uchunguzi kwa mujibu wa sheria gani?
Kwa nini mnamhadaa jk kama vile hakufanya kitu?kwa nini mnapotosha watu?
Ndugu mtanzania tii kiu yako kata ccm
Ajira yako na propaganda za kijinga mwisho tarehe 24 octoba 25 mimi ni ukoo wetu wote tunamchagua Lowassa.Vipi wewe umeshatafuta kazi nyingine baada ya octoba 25.
Nyie wote mnao ihadaa Chadema eti chadema asilia ohoo Slaa.Contract yenu mwisho tarehe 24.Mungu ni mwaminifu na baada ya hapo.Yaliyomapenzi ya Mungu yatatimizwa.Slaa asubiri huruma ya Magufuli.Na ikishindikana hiyo ni bae bai ila chadema itapakia palepale
Karibu Arusha kesho. Njoo uone tofauti ya Fiesta na mkutano.Halafu ulizia moshi leo nini kimetokea.Mambo ni mazito.Ulizia polisi wakueleze wanachotaka watu ni mabadiliko.
hakuna kipindi Lowassa amekuwa nafuraha kama sasa.Kweli upendo wa dhati ambao Wantanzania tumemuonesha umerejesha afya yake kama tai.
Pia tunaomba msamaha ccm kwa niaba yake manaLowassa amewafilisi.Ni shidaa.
Ingawa sikujui nakuona kuwa ni mtu unayejua mambo mengi ila kila mara roho yangu imekuwa ikinisukuma kukusihi kuwa usikubali kuchukua pesa na manufaa unayopata kutoka kwa wakubwa ili kupotosha hata maskini.Mungu amekupa neema ya kujua mambo mengi kwa ajili ya maskini na wahitaji. Maisha haya...
Wewe ni mtu hatari unaeneza ukabila. Unataka madaraka kwa kutumia kigezo cha ukanda na ukabila. Kwa mbinu hii mafanikio yako usipobadilika utakuwa mbali nayo kama mashariki ilivyo mbali na magharibi na ndipo utajua yuko Mungu apendezwae na amani ya watu wake.
Masaburi hana sifa yoyote ya kuwa kiongozi.Ni hatari anatumua pesa kuwarubuni vijana na kuchafua upinza Na kuambia kama Mungu aishivyo ikiwa tuhuma juu yake ni za kweli mafanikio yake yatakuwa mbali nae kama ilivyo mbali kati ya mashariki na magharibi
Kama wewe ndo Tanzania nzima sawa.Ila kama wewe ni sehemu ya Tanzania tulio kinyume chako ni wengi mno na kwa uhakika magufuli atapata kura ila hazitatosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.