JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Kwa ufisadi wa kutisha alioyufanyia
Kwa tukio la geita la kujinyea
Na maigizo anayoyafanya
kwakweli usipomuwaza lowasa nenda kapimwe akili
Nasikia jamaa alipotoka tanga haliyake haikuwa nzuri,dokta wake wa ujeruman alishaitwa hapa dar kumsubiri,baada ya kurudi jamaa alipompima licha ya mambo mengine akabaini jamaa ana viashiria vinavyompandisha presha vijulikanavyo kama jopomagufu!!
Nasikia anajilaum kuihama ccm
Bila shaka atarud baada ya uchaguz
neno la mwisho linanikumbusha geita...acha usiendelee wenzio tunakula huku.
Kujiunga jf juzi tu leo unaleta uharo kama huu! Ukimaliza mwaka itakuwaje?JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Kwa kweli katika kipindi ambacho kimekuwa kigumu katika maisha ya Lowasa hakuna kama sasa: Bora hata alivyoenda "vitani" hakukutana na hali ngumu kama sasa, Nasikia hata kama anakula mtu akitamka tu "Magufuli" anasita kula kwa muda na kuangalia kulia na kushoto halafu ndio anaendelea kula. HAPA KAZI TU.
Usitudanganye kwasasa Lowasa anawaza MAHAKAMA YA UFISADI itaundwa muda sio mrefu na lazima mamvi akaoge mvua za kutosha.
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Magufuli anafaa kuwa rais wa tanzania awamu ya tano
IT Centre Lumumba & Masaki mnatuangusha.
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Kujiunga jf juzi tu leo unaleta uharo kama huu! Ukimaliza mwaka itakuwaje?
IT Centre Lumumba & Masaki mnatuangusha.