Dawa pekee ni kukosa hela, omba mungu ukose hela ndani ya miezi 6 nadhan arosto itakuisha
Sent from my HTC Desire 728 dual sim using JamiiForums mobile app
Mmmh et experience with the same fields, nawakat ndio kazi zao wajiulize kwanza huyo mtu mwenye hiyo uzoefu kama wao wanavyotaka je waliwafukuza kazi watu na ndio wanataka wawarudishe au ni watu wapya???? Experience 7years to the same fields naakati UN ndo wenyewe au wanarudisha watu wao...
Nimetumiwa leo meseji, et ndugu yangu siumeona mwenyewe dawa ya biashala niliyokupa yan haijahitaji hata kufanya kafara, umekuwa na magari nyumba kila mji......., nikijicheki sinavyo, jman ndio haohao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.