Fumbo la kihisabati

Fumbo la kihisabati

Tunaposema mtu kanunua vitu vya 90,000 maana yake ni kwamba alitoa 90,000 na akabaki na 10,000, na huyo mwenye duka akampa tena chenji ya shs.10,000, kwahiyo 10k aliyobaki nayo + bidhaa za 90k + chenji ya 10k unapata 110k; unless otherwise lugha ndio tatizo.
Lugha ni tatizo mkuu, yaani ukienda na 100,000 dukani ukaambiwa vitu vinauzwa 90,000 unatoa laki yote ili urudiahiwe change?
 
Mwizi alimuibia mwenye duka shilingi laki moja baadae akarudi na hiyo pesa amanunua vitu vya elfu tisini na mwenye duka bila kujua akamrudishia chanji yake ya elfu kumi

Je mwenye duka alipoteza kiasi gani cha pesa?



HATA INZI AKIACHA UJINGA ANAWEZA KUTENGENEZA ASALI KAMA NYUKI
Swali la kipuuuzi, kwani hiyo laki moja ilikua noti moja! Maana hiyo chenji ya 10k siielewi
 
Dah....unanunua bidhaa za shilingi 90k halafu unatoa shilingi laki moja? Ajabu sana
 
Hapo ndio kwenye mtego
Ameuliza kiasi cha pesa kilichopotea sio bidhaa.
Kwa hiyo mwizi amerudisha elfu tisini,kwa njia ya manunuzi
kabakiwa na elfu kumi kaongezewa na elfu kumi ya chenji
jumla jamaa kapoteza 20000.
mzigo wa shs.90,000/= ni sawasawa na 90,000/=, unless otherwise lugha ni tatizo
 
Kapoteza laki moja tu ukiihesabu elfu 10 tena utakuwa umedouble count coz ipo kwenye kile kiwango cha laki moja iliyoibiwa.
 
Wapi ameandika mwizi katoa 100,000/=?! Yaan mimi niende kununua vitu vya 90,000/= halafu nimpe 100,000/= mwenye duka, ili iweje? Acha ku-assume visivyoandikwa.
Kwani unadhani kwa nin alirudishiwa elfu kumi

NB. Ile laki moja na bidhaa za elfu 90 zote ni mali ya muuzaji
 
Hivi siku hizi kuna noti ya shilingi laki moja??.. Mtu hawezi kwenda dukani kununua vitu vya elfu tisini halafu atoe laki moja ili arudishiwe elfu kumi.. Nakubaliana na jamaa alisema labda huyo mtu awe chizii.. Na Kama ni chizi basi swali libadilike iwe chizi aliiba......
Muuzaji ndo chiz aliyepewa elfu 90 akarudisha elfu 10 kwa logic ya uchiz
 
Hapo ndio kwenye mtego
Ameuliza kiasi cha pesa kilichopotea sio bidhaa.
Kwa hiyo mwizi amerudisha elfu tisini,kwa njia ya manunuzi
kabakiwa na elfu kumi kaongezewa na elfu kumi ya chenji
jumla jamaa kapoteza 20000.


Mwenye duka kapoteza 100,000.
Hauwezi kuhesabia bidhaa na chenji maana hapo mwizi alikuja kama mteja tu na sio mwizi tena.

hesabu ndogo tu hii.
 
Kwani unadhani kwa nin alirudishiwa elfu kumi

NB. Ile laki moja na bidhaa za elfu 90 zote ni mali ya muuzaji
Swali linasema "mwenye duka alirudisha chenji bila kujua" , hivyo ilirudishwa kimakosa kulingana na swali
 
Back
Top Bottom