Recent content by daapolyn

  1. daapolyn

    Lukuvi ulikiwa unakusanya kodi ya majengo ili uje utubomolee nyumba?

    Kwakwelii damu na mikojoo bhatachuruzikaa[emoji36][emoji36] waache kutuchezea sikinde za bhokasa ya ngoso...
  2. daapolyn

    Pugu: Rais Magufuli azindua ujenzi wa Reli, asema dereva mzuri hasikilizi maneno ya watu

    Nw majambazi yanavamia mchna kweupe siyo tbata siyo sinza sikisikii hta askari kusema chochote wanakujaa aft one hr baada ya tukio wakitoka hpo kimyaa hivi huyu RC anaongea nn
  3. daapolyn

    Mwanamke: Dalili kwamba very soon utaisaliti ndoa yako

    Factss...yamenikuta hya sema alikuwa ni mchumba niliyeza naye
  4. daapolyn

    Mtoto wa mwaka mmoja na miezi nane kupata kinyesi cheusi

    Hiyo ni dawa wala si tatizo pia hutokea hta ukimpa dawa hasa ya rangi nyekundu n.a. kuna dawa moja ya vitamin huwa Batavia hyo anatoa kinyesi cheusi mpka akee sawa
  5. daapolyn

    Tahadhali: Wizi wa Mb Halotel

    Kweli kabisaa nilijua Mimi tuu ni wezii aisee hapo hawali haikuwa hivi tena usiombe ujiunge cha wiki ndani ya cku moja kimeisha
  6. daapolyn

    Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Daaaahhh aisee hivi bunge si muhimili huru au ??sasa wabunge wanatawaliwa na wenyewe kila kitu kimekuwa uvundoo mtupu kwahyo ile juzi zile ngumi mtu kukatisha eneo la ccm mkulu ndio anapenda vile
  7. daapolyn

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji4][emoji4][emoji38]yes try it
  8. daapolyn

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Haitokii kwenye nguo mwaka mzima
  9. daapolyn

    Mtiririko wa Elimu ya Mh. Makonda katika ngazi ya Kidato cha Nne unafifia

    Sikiliza vizur hapo mama ake anasema yeye upendelea kumuita daud jina lake la ototoni means Paul ni jina la ukubwani[emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28]
  10. daapolyn

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    Very sad poleni sana mliopoteza ndugu na jamaaa kweny ajar hyo na. Mungu azilaze roho za marehemu Mahali pema peponi
Back
Top Bottom