Recent content by Da Lu

  1. Da Lu

    Fursa za biashara U.A.E (Dubai)

    Mungu ambariki sana aliyeanzisha huu uzi. Sent from my SM-A346E using JamiiForums mobile app
  2. Da Lu

    Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

    Awe mweusi au mweupe ili mradi tu anizidi urefu.
  3. Da Lu

    Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

    Unapokosea halafu mtu akusahihishe ni jambo la busara sana.
  4. Da Lu

    Machache niliyogundua kuhusu wanawake kwenye mahusiano

    Kwani hata Mungu si alishasema uishi nae kwa akili.
  5. Da Lu

    Niliyojifunza Kuhusu maisha

    Kunyamaza wakati mwingine unaepusha vitu vingi sana.
  6. Da Lu

    Majibu Kuntu ya kwanini ndoa nyingi zinavunjika sana siku hizi haya hapa

    Kwenye mavazi sina uhakika sana maana nimeshuhudia watu wengi wa karibu wakishaolewa ndo wanaanza kuvaa stara.
  7. Da Lu

    Unakata tamaa? Pambana, njia bado ni nyeupe, 2024 hodi, 2023 ilikupa funzo gani?

    Mwaka 2023 umenifunza kumtegemea Mungu peke yake na wala si mwanadamu.
  8. Da Lu

    Naomba kujuzwa fursa za Biashara Madagascar na Mauritius

    Asante sana Mkuu, viungo nipeleke Mauritius au Madagascar?
  9. Da Lu

    Naomba kujuzwa fursa za Biashara Madagascar na Mauritius

    Habari zenu Great thinkers? Naomba kujua fursa za biashara zilizopo katika nchi mbili nilizozitaja hapo. Ni bidhaa gani naweza kutoa Tanzania nikapeleka huko au ni bidhaa gani nitaitoa huko nilete Tanzania. Karibuni wapendwa
Back
Top Bottom