Poa mkuu ila kwa anayejitambua ku mention hivyo vitu sio big deal maana bado ungeeleweka kuwa umesikia redioni.
Na log out hapa kwenye iphone 6 yangu :):):):):):)
Mikopo diploma holders huwa wanapata ila inategemeana na course (kwa miaka yote iliyopita) kama ni za kipaumbele. Mfano rahisi nenda SJUT Dom education pale asilimia kubwa wameingia kwa equivalent qualifications na wana mkopo wote
Nilichoka nilipoona jini anavuka barabara af anaangalia kushoto na kulia ili avuke.
kuna ile nyingine mtoto wa mtaani kaokota mkate jalalani eti umepakwa blueband
pole mkuu. mimi 2009-2012 ilikuwa balaa, unaamka saa kumi alfajiri wakija inservice watu wazima wana overtake kwenye line sisi ndo bado wadogo ilikuwa shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.