View attachment 426081View attachment 426083View attachment 426084View attachment 426085
Haya Miss Natafuta na mwenzako Da Gesh picha hiyo hapo nipeni hela sasa...na chupa nimeweka sema wameingia kwa ndan ya box hawatak kutoka inaonekana hawapendi mwanga...ndio maana pic hazijatoka fresh
mkuu na wewe umekamatwa, ule mdomo wa yule wa kwanza mwekundu huu mbona mweusi?ahaaaa safi mkuu unauza simu sh ngapi kama hyo?
Hafu hawa nungu nungu wamelala hupenda kutoka usiku tu Mara nyingi.View attachment 426081View attachment 426083View attachment 426084View attachment 426085
Haya Miss Natafuta na mwenzako Da Gesh picha hiyo hapo nipeni hela sasa...na chupa nimeweka sema wameingia kwa ndan ya box hawatak kutoka inaonekana hawapendi mwanga...ndio maana pic hazijatoka fresh
Mumewe kamtelekezaSasa mume wake aliempa mimba yupo wapi?!
View attachment 426081View attachment 426083View attachment 426084View attachment 426085
Haya Miss Natafuta na mwenzako Da Gesh picha hiyo hapo nipeni hela sasa...na chupa nimeweka sema wameingia kwa ndan ya box hawatak kutoka inaonekana hawapendi mwanga...ndio maana pic hazijatoka fresh
Mumewe kamtelekeza
JF imevamiwa. Yaani kuanzisha thread kote unataka kuuza simu?[emoji1] [emoji1] [emoji1] bei pouwa tu kwa wakuu wenzangu wa humu JF, kwn si unaonaga nyuzi zangu za biashara za simu humu?, ukihitaji smartphone ya ukweli na latest yaan fanya kunichek tu 0654776976.
Huyu ni karungu yeye, nungu nungu ana miba mirefu sanaHafu hawa nungu nungu wamelala hupenda kutoka usiku tu Mara nyingi.
Basi jina hutofautiana na sehemu aiseeHuyu ni karungu yeye, nungu nungu ana miba mirefu sana
Hiyo unajua wewe...sasa mtu kauliza na anahitaji simu niliyotumia kupiga picha huyo mnyama, ulitaka nimjibu akaitafute porini km kwenye vichaka vya huyo mnyama...wakat mimi mwenyewe mwanzirishi wa hii thread nauza hizo simu??? Wabongo hamuendelei sababu ya majungu yenu na viroho kwatu, Yaaan hampend kuona!!!JF imevamiwa. Yaani kuanzisha thread kote unataka kuuza simu?
Jaribu kuwasiliana maafisa wa wanyama au Zoo yoyote iliyokaribu kwa kuwadadisi jinsi gani hao wanyama wanaishi afu utamlea kwa kipindi flani kisha utamuachia aendelee na maisha yake, usije ukampeleka kwenye Zoo hio ni sawa na kumpeleka jela huwa sipendi kabisa watu wanaowaamisha wanyama kwenye mazingira yao halisi.