Gayo, jina lako linanikumbusha nyumbani,the rock city, unayosema ni kweli kabisa,inasikitisha kuona libaba linamjengea kimaga ilhali lenyewe liko nyumba ya kupanga, au kanyumba kake kabayaaa,linajenga gorofa,haipendezi,nina dada yangu ndugu wa mbaaalii, anagorofa kabisaaaaa,kajengewa na mume wa...