Gayo, jina lako linanikumbusha nyumbani,the rock city, unayosema ni kweli kabisa,inasikitisha kuona libaba linamjengea kimaga ilhali lenyewe liko nyumba ya kupanga, au kanyumba kake kabayaaa,linajenga gorofa,haipendezi,nina dada yangu ndugu wa mbaaalii, anagorofa kabisaaaaa,kajengewa na mume wa...
Yaani, usiombe kujilazimisha kukaa na mtu usiyempenda, daaaaaa, kwa kweli hili nalo neno,ahsante dear,mambo gani haya hadi unywe pombe ndo uweze kunanihii la sivyo ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.