Recent content by D.I.G

  1. D

    Kutetemeka kwa usukani Gari ikifika 75 -85km/h Noah

    Mkuu nilishawahi kuwa na Noah na ikawa na hilo tatizo, nilipouliza kwa wataalam wakaniambia tairi zimeisha nibadili tatizo litaisha, nikabadili zile tairi za mbele na kweli lile tatizo likaisha sikuona tena vibration ya steering at 85km/h na kuendelea, jaribu kucheki tairi zako za mbele...
  2. D

    Ifahamu toyota allion

    Umenena mdau, nimeitumia hiyo gari ipo vizuri.
  3. D

    Uhamiaji fanyeni msako makampuni yote IPP, Azam, Quality, Mahoteli ya Utalii, Migodi na Barabara

    Makampuni mengi ya wahindi wapitie huko, kumeoza
  4. D

    Vyou gani vinatoa Distnce learning hapa Tanzania?

    Hi! Wanajamii naomba mnisaidie chuo ambacho kinatoa distance learning kwa level ya diploma kwa hapa nchini kwa masomo ya engineering. Masomo hayo yaweni diploma ya Electrical Engineering, Mechanical Engineering na Electronics. Asanteni sana.
  5. D

    Tabia za wanafunzi wa Arts

    Duh! huu utafiti Mmh!
  6. D

    Pinda kutumia busara unamaanisha nini

    kwa hili lazima ang'oke mmoja mmoja, hapo sasa ndo tunaona nani tumbili ha ha haaa, inafikia kipindi unabaki kucheka tu japo una maumivu makali moyoni.
  7. D

    Pinda kutumia busara unamaanisha nini

    Kwa hili la IPTL lazima wang'oke aisee, si walisema wenzao ni matumbili, sasa hao hao matumbili ndo watawafanya mbaya, daaah hawa jamaa kiukweli unafika mahali unaanza kucheka tu japo una maumivu makali.
  8. D

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Mkuu umeeleweka sana, bila shaka wengi watapata faida!
  9. D

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ya CHADEMA imefanya maamuzi ya kijuha!

    Daaah, aende tu, madai yake sioni kama yana mashiko sana!
  10. D

    Ni yupi MKE anayefaa: Mfanyakazi au asiye na kazi (golikipa)?

    swala la kuoa lataka kutulia na kutafakari sana, unaweza kumuoa mwenye pesa halafu bado ndoa yako isiwe na furaha, pia unaweza kuoa asiye na kazi bado maisha yakawa hayaeleweki, kaa chini tulia muombe Mola akupe mke mwema haijalishi ni muajiliwa au asiye na kazi, tafakari, chukua hatua...
  11. D

    Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

    Uchungaji/unabii ni wito mdau, si kukurupuka tu, sina wito huo!
Back
Top Bottom