Recent content by cyrusthegreat

  1. C

    Wanawake pendeni kuvaa nguo za ndani

    Kiufupi wanawake wanaachia hewa itamalaki katika maeneo hayo which is very good
  2. C

    Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

    Nimetembea njia yote ya kati nikawa nashangazwa na aina ya machata yake nikajiridhisha kwamba kama ni yy aliyepiga machata yale basi tumbaku ya tabora ndio inaleta matokeo yale!
  3. C

    Maxence Melo: Sheria ya Uhalifu wa Kimtandao, Wengi wameanza kujitoa kwenye Magroup

    Sijawahi kuona sheria la hovyo kama hili sheria isiyo na sheria haielezi taarifa zipi ni jinai hoja ya lugha zilizotumika na maana zake ni "andhaa kanoon" tupu
  4. C

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Hivi ni nani asomjua polepole ni sisiemu wa kufa na kuzikana?
  5. C

    Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

    Hata mm ndio nimebadilisha upepo asbhi hii kura zimehamia ukawa sasa
  6. C

    Tigo waja na wizi mpya kwa wateja

    Sijawahi kuona "uhodombi " wa kiwango cha degree kama huo waache kutuibia pesa line za simu kurenew line imekuwa ni anasa sasa.
  7. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mm ni mwalimu nipo manispaa ya tmk nahitaji kuhamia kinondoni tuwasiliane niPM
  8. C

    Daktari: Ulaya kamwe hawang'oi meno, wanakarabati

    Hapa kwetu meno tunasafisha meno kwa mafuta ya taa tu inatosha.
  9. C

    Tulianzisha kanisa feki pamoja, anafosi nimuoe, vinginevyo anamwaga mboga

    Bongo yangu inashindwa kuchakata hii data ya "ufeki"ivi hamkua na wito kumbe mlipojivika vazi la utumishi asee haikaii bongoni mwangu yaani mmejenga safina alafu hamuingii ndani yake "Kamesi"wakubwa nyie tubuni mkabatizwe nanyi mtapokea kipawa cha roho!
  10. C

    Kwanini wasichana warembo wanawadharau sana wanaume walimu wa shule za msingi na secondary?

    Ivi kazi ya watu smart duniani inafundishwa na kina nani?ujue kuna unyenyepaa wa aina nyingi sana humu duniani na huu wa kiprofeshno nao umeakuwa ukipanda chati sasa .
  11. C

    Shilole akutana na Rungu la BASATA, Afungiwa mwaka mmoja kujishughulisha na shughuli za sanaa

    Mbona ukitenda dhambi duniani mbinguni unaadhibiwa kwa sheria za mbinguni!
  12. C

    Shilole akutana na Rungu la BASATA, Afungiwa mwaka mmoja kujishughulisha na shughuli za sanaa

    Kazi yake ya zamani ilikuwa ni ualimu akiwa ameajiriwa kwa masharti ya KUDUMU akavuta bangi usiku mmoja alipoamka akaacha kazi na kujiajiri ajira hiyo ya kusaula maungo mbele ya jamii asante BASATA mmefanya kazi nzuri sana!
Back
Top Bottom