Nimetembea njia yote ya kati nikawa nashangazwa na aina ya machata yake nikajiridhisha kwamba kama ni yy aliyepiga machata yale basi tumbaku ya tabora ndio inaleta matokeo yale!
Sijawahi kuona sheria la hovyo kama hili sheria isiyo na sheria haielezi taarifa zipi ni jinai hoja ya lugha zilizotumika na maana zake ni "andhaa kanoon" tupu
Bongo yangu inashindwa kuchakata hii data ya "ufeki"ivi hamkua na wito kumbe mlipojivika vazi la utumishi asee haikaii bongoni mwangu yaani mmejenga safina alafu hamuingii ndani yake "Kamesi"wakubwa nyie tubuni mkabatizwe nanyi mtapokea kipawa cha roho!
Ivi kazi ya watu smart duniani inafundishwa na kina nani?ujue kuna unyenyepaa wa aina nyingi sana humu duniani na huu wa kiprofeshno nao umeakuwa ukipanda chati sasa .
Kazi yake ya zamani ilikuwa ni ualimu akiwa ameajiriwa kwa masharti ya KUDUMU akavuta bangi usiku mmoja alipoamka akaacha kazi na kujiajiri ajira hiyo ya kusaula maungo mbele ya jamii asante BASATA mmefanya kazi nzuri sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.