wakuu habarini za jioni
mimi ningependa kuuliza kwa waliomaliza mwaka kabla ya tangazo kutoka je na wao hawana vigezo vya kuendelea na bachelor??
au inakuwaje
habarini wakuu
kwa iyo maamuzi ya mwisho hadi sasa kwa watu waliomaliza diploma ukoje??
kwamba GPA ni iyo 3.0 kama sijafika hapo sina vigezo vya kundelea na bachelor??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.