Jinsi mnavyoongelea haki za watumishi! Mnazidi kuwaongezea machungu watumishi na kupunguza kura kwa mgombea wenu.
Kukaa kimya kwa sasa ni bora kuliko kupotosha. Ukizingatia zaidi ya 75% ya watumishi wa serikali ni vijana, wazazi na wanategemewa na wengi.
Chama chetu kwa hili la watumishi...
Hajahemuka.....yupo sahihi kabisa Deo Sanga ni Makambako na Njombe mjini ni Deo Mwanyika. Mtu mmoja simple na humble sana. Hayo mengine anajua vizuri yeye binafsi na Mungu. ...
Uongozi wa kisiasa unatokana/anapata mtu kwa kufanya siasa.
Anayethubutu na kushawishi kisiasa atapata uongozi kwa vigezo vilivyowekwa kisiasa.
Atakayejitokeza kugombea, akadhinda atapata uongozi. Bila kujali watatokea ndugu wangapi ktk uongozi, kikubwa wapitie michakato ya kisiasa.
Teuzi...
Kikubwa kuheshimiana ili tuendelee kufanya yetu kwa staha.
Hii ndiyo siasa ya nchi yetu, japo kama tuna imani ndogo kwa wanasiasa lakini tumewapa dhamana inayoweza kuathiri kufanya yetu kwa njia nyingi.
Wanasiasa ni mimi, wewe na yeye ambao kila mmoja wetu ana nafasi yake ktk uwanja wa siasa...
Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali ni shabiki wa kazi nzuri za Rais Magufuli na nafurahia anapokosolewa kwa staha.
Mimi Kama kijana na mwananchi wa kawaida kabisa ninaona Freeman Mbowe anastahili heshima sana kutoka kwa vijana wa taifa hili kama ambavyo wazee wetu wengi wa...
Mzee pwagu anafahamika na kutambuliwa kwa kazi yake tangu zamani. Kilichokuwa kikwazo kwa viongozi na taasisi mbalimbali za serikali ni sheria zetu zinazosimamia Tanesco. Nakumbuka kwa siye tuliopita shule za Iringa/njombe sehemu mojawapo muhimu ya kwenda ziara ilikuwa ni kwenda kwa mzee pwagu...
Kama kanuni za tff zingeruhusu kusajiri wachezaji wote bila kujali mipaka ya nchi, mchezaji mmoja tu wa tz angebaki simba. Lakini kwa kanuni za sasa kuwapata wachezaji wa hadhi ya kucheza simba ni ngumu sana, 100% ya wachezaji wa simba wanakaa benchi ama jukwaani ni first eleven wa timu kama...
Siasa inafanyika popote penye zaidi ya mtu mmoja. Maisha ni siasa, matukio hutokea maishani na ili yashughulikiwe ipasavyo lazima siasa iwepo. Hapo ulipo unafanya siasa japo hupo kwenye jukwaa mahususi la siasa.
Kanisa linaendelea kutoa elimu na kuongeza taasiasi za elimu ili wewe na kazazi chako mkombolewe na kuweza kufanya mabadiliko yenu wenyewe! Hakuna haja ya kuyalaumu baadhi ya madhehebu ya dini katika hili kwani nchi yetu ina mfumo tofauti sana ktk mambo ya kiimani ukilinganisha na nchi zingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.