Tumpe heshima zake Freeman Mbowe akiwa bado anaishi

Cyk

Member
Jul 11, 2015
27
40
Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali ni shabiki wa kazi nzuri za Rais Magufuli na nafurahia anapokosolewa kwa staha.

Mimi Kama kijana na mwananchi wa kawaida kabisa ninaona Freeman Mbowe anastahili heshima sana kutoka kwa vijana wa taifa hili kama ambavyo wazee wetu wengi wa CCM, serikalini na dini wanavyomheshimu.

Mbowe ana mchango mkubwa katika maendeleo ambayo taifa hili limeyapata katika miaka 15 iliyopita na mingi itakayokuja.

Mbowe ameandaa vijana wengi machachali na kuwa viongozi na baadhi yao sasa wanahudumu katika serikali, bunge na wengine wengi ambao ni wabunge wajao, mawaziri, nk.

Najua Mbowe siku moja ataachia ngazi CHADEMA lakini nawakumbusha wanachadema, wafuasi wa vyama vingine na Watanzania kwa ujumla, tumpe Mbowe heshima anayostahili akiwa hai. Tusimfanye ajutie kwa jasho alilotoa kwa taifa hili. Mbowe ni binadam, na anakosea, lakini tukumbuke mazuri yake zaidi.

Kazi nzuri anayofanya Rais wetu kipenzi imetokana na kuwepo upinzani imara ambao nguzo kuu ni maono na utashi chini ya Mbowe. Rais wetu kipenzi asingepatikana bila Upinzani thabiti kutoka chama kinachoongozwa na Mbowe.

Hatupaswi kumkweza, kumbeza wala kumtesa kwa vijembe au upambe wa kinafiki. Bali tumpe heshima yake amefanya mengi makubwa indirectly kuliko baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii.

TUMPE HESHIMA ZAKE MBOWE AKIWA BADO ANAISHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa,tusisubirie afariki tuanze kulia kwenye msiba wake na kuanza kutoa sifa za kila namna.(nyingi huwa sifa za kinafki)
Ni vyema kumwambia mabaya yake halikadhalika mazuri yake akiwa bado anasikia.
 
Kwanza uwepo wa chadema unafanya serikali kuwa sikivu hasa kwa watu wenye nguvu kama magufuli wakihofia kuwa itakuwaje wakijiunga na upinzani, kati ya watu waliotakiwa kufanya kazi karibu na cdm ni rais Magufuli, tunajua kabla hajawa rais alikuwa na uhusiano mzuri sana na Mbowe na cdm, ila sasa ivi cdm imegeuka kuwa tishio kwake, hiyo siyo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Cyk
Mimi ni mwana CCM ila Mbowe nakubali ni kiongozi pekee atakae ishi Tanzania miaka 1000 ijayo. Alinde tuu legacy yake.
 
Kwanza uwepo wa chadema unafanya serikali kuwa sikivu hasa kwa watu wenye nguvu kama magufuli wakihofia kuwa itakuwaje wakijiunga na upinzani, kati ya watu waliotakiwa kufanya kazi karibu na cdm ni rais Magufuli, tunajua kabla hajawa rais alikuwa na uhusiano mzuri sana na Mbowe na cdm, ila sasa ivi cdm imegeuka kuwa tishio kwake, hiyo siyo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa kuu ya dikteta ni uoga.
 
Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali ni shabiki wa kazi nzuri za Rais Magufuli na nafurahia anapokosolewa kwa staha.

Mimi Kama kijana na mwananchi wa kawaida kabisa ninaona Freeman Mbowe anastahili heshima sana kutoka kwa vijana wa taifa hili kama ambavyo wazee wetu wengi wa CCM, serikalini na dini wanavyomheshimu.

Mbowe ana mchango mkubwa katika maendeleo ambayo taifa hili limeyapata katika miaka 15 iliyopita na mingi itakayokuja.

Mbowe ameandaa vijana wengi machachali na kuwa viongozi na baadhi yao sasa wanahudumu katika serikali, bunge na wengine wengi ambao ni wabunge wajao, mawaziri, nk.

Najua Mbowe siku moja ataachia ngazi CHADEMA lakini nawakumbusha wanachadema, wafuasi wa vyama vingine na Watanzania kwa ujumla, tumpe Mbowe heshima anayostahili akiwa hai. Tusimfanye ajutie kwa jasho alilotoa kwa taifa hili. Mbowe ni binadam, na anakosea, lakini tukumbuke mazuri yake zaidi.

Kazi nzuri anayofanya Rais wetu kipenzi imetokana na kuwepo upinzani imara ambao nguzo kuu ni maono na utashi chini ya Mbowe. Rais wetu kipenzi asingepatikana bila Upinzani thabiti kutoka chama kinachoongozwa na Mbowe.

Hatupaswi kumkweza, kumbeza wala kumtesa kwa vijembe au upambe wa kinafiki. Bali tumpe heshima yake amefanya mengi makubwa indirectly kuliko baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii.

TUMPE HESHIMA ZAKE MBOWE AKIWA BADO ANAISHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hii Magufuli na Mbowe wakisimama kwenye jukwaa moja ili watoe speech. Utajua yupi alistahili kuwa rais na yupi alitakiwa kuwa mnyapara
 
Arudishe pesa alizoiba
Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali ni shabiki wa kazi nzuri za Rais Magufuli na nafurahia anapokosolewa kwa staha.

Mimi Kama kijana na mwananchi wa kawaida kabisa ninaona Freeman Mbowe anastahili heshima sana kutoka kwa vijana wa taifa hili kama ambavyo wazee wetu wengi wa CCM, serikalini na dini wanavyomheshimu.

Mbowe ana mchango mkubwa katika maendeleo ambayo taifa hili limeyapata katika miaka 15 iliyopita na mingi itakayokuja.

Mbowe ameandaa vijana wengi machachali na kuwa viongozi na baadhi yao sasa wanahudumu katika serikali, bunge na wengine wengi ambao ni wabunge wajao, mawaziri, nk.

Najua Mbowe siku moja ataachia ngazi CHADEMA lakini nawakumbusha wanachadema, wafuasi wa vyama vingine na Watanzania kwa ujumla, tumpe Mbowe heshima anayostahili akiwa hai. Tusimfanye ajutie kwa jasho alilotoa kwa taifa hili. Mbowe ni binadam, na anakosea, lakini tukumbuke mazuri yake zaidi.

Kazi nzuri anayofanya Rais wetu kipenzi imetokana na kuwepo upinzani imara ambao nguzo kuu ni maono na utashi chini ya Mbowe. Rais wetu kipenzi asingepatikana bila Upinzani thabiti kutoka chama kinachoongozwa na Mbowe.

Hatupaswi kumkweza, kumbeza wala kumtesa kwa vijembe au upambe wa kinafiki. Bali tumpe heshima yake amefanya mengi makubwa indirectly kuliko baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii.

TUMPE HESHIMA ZAKE MBOWE AKIWA BADO ANAISHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apelekwe jera kwanza kwa mauaji na arudishe pesa alizoiba
 
Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali ni shabiki wa kazi nzuri za Rais Magufuli na nafurahia anapokosolewa kwa staha.

Mimi Kama kijana na mwananchi wa kawaida kabisa ninaona Freeman Mbowe anastahili heshima sana kutoka kwa vijana wa taifa hili kama ambavyo wazee wetu wengi wa CCM, serikalini na dini wanavyomheshimu.

Mbowe ana mchango mkubwa katika maendeleo ambayo taifa hili limeyapata katika miaka 15 iliyopita na mingi itakayokuja.

Mbowe ameandaa vijana wengi machachali na kuwa viongozi na baadhi yao sasa wanahudumu katika serikali, bunge na wengine wengi ambao ni wabunge wajao, mawaziri, nk.

Najua Mbowe siku moja ataachia ngazi CHADEMA lakini nawakumbusha wanachadema, wafuasi wa vyama vingine na Watanzania kwa ujumla, tumpe Mbowe heshima anayostahili akiwa hai. Tusimfanye ajutie kwa jasho alilotoa kwa taifa hili. Mbowe ni binadam, na anakosea, lakini tukumbuke mazuri yake zaidi.

Kazi nzuri anayofanya Rais wetu kipenzi imetokana na kuwepo upinzani imara ambao nguzo kuu ni maono na utashi chini ya Mbowe. Rais wetu kipenzi asingepatikana bila Upinzani thabiti kutoka chama kinachoongozwa na Mbowe.

Hatupaswi kumkweza, kumbeza wala kumtesa kwa vijembe au upambe wa kinafiki. Bali tumpe heshima yake amefanya mengi makubwa indirectly kuliko baadhi ya viongozi wakuu wa nchi hii.

TUMPE HESHIMA ZAKE MBOWE AKIWA BADO ANAISHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kutaja uimara wa Zitto Kabwe bila kutaja mchango wa Mbowe

Huwezi kusema ubora wa Heche bila kumtaja Mbowe

Huyu Waitara anayejigamba ameandaliwa na Mbowe

Silinde anayejigamba ameibuliwa na Mbowe

Lijualikali anayeleta majigambo amejulikana kwa sababu ya chadema ya Mbowe

Hao kina Shonza ambao sasa wanahudumu serikalini, kina Katambi na wengine kadha wa kadha Mbowe anamchango wake kuwafanya kuwa vijana imara na kuonekana

Vijana mashuhuri kama kina Mnyika, Boniface Jacob ni mazao ya chadema ya Mbowe

Bila hao watu CCM ingelala usingizi kama alivyowahi kubainisha Baba wa Taifa wakati anaanza kushawishi watu wapokee mfumo wa vyama vingi

Orodha ni ndefu unaweza kuongezea wengine

Familia isiyo na Baba imara mwenye maono ya mbali sio rahisi kupata maendeleo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua Mbowe ni zimba, sio kwamba ameandaa na kufundisha siasa vijana wakaishia Chadema tu, amefundisha vijana siasa hadi wakaaminika na kupewa nyadhifa nyeti serikalini kwa kupewa thamani kuwalinganisha na na hadhi waliyokuwa nayo kwakuwa tu wamepita kwenye mikono ya Freeman Mbowe.

Vijana hao ni kama kina Juliana Shonza ambao leo ameaminika na kuwa Naibu Waziri , Yuko huyo Dr.Shika Mollel tayari ni Naibu, yupo mzee wa gambe Waitara naye pale kati ni Naibu waziri, yupo pale Katambi mzee wa karai ni dc, yuko Mtela Mwampamba mzee wa kuchora mawe ni katibu na wengine wengi. Pamoja na jitihada zao binafsi na usaliti ila wao kwa kuwa tu wamesurrender wakitokea Chadema chini ya Mbowe wameaminiwa na wameinuliwa kiasi flani hivi huko CCM.
 
Back
Top Bottom